Rais Kikwete akutana na Mkuu wa UNDP Bibi Hellen Clark Ikulu Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza baada ya mazungumzo Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vj7rK2hLAa0/U3HtCpUQzDI/AAAAAAAFhOg/Asf9rylFG9M/s72-c/undp3.jpg)
JK AKUTANA NA MKUU WA UNDP BIBI HELLEN CLARK
![](http://4.bp.blogspot.com/-vj7rK2hLAa0/U3HtCpUQzDI/AAAAAAAFhOg/Asf9rylFG9M/s1600/undp3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QiAZdEG1pkQ/U3DDoMAaUMI/AAAAAAAFhFo/tFPsjfIzRCk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark atembelea Bungeni Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-QiAZdEG1pkQ/U3DDoMAaUMI/AAAAAAAFhFo/tFPsjfIzRCk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8lgTZuGHoNM/U3DDoK4ZobI/AAAAAAAFhFs/-TWNxJG5IeE/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jjk12wzjxgQ/U3DDoftb6ZI/AAAAAAAFhF0/PCW2rv5KwuI/s1600/unnamed+(22).jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete akutana na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s640/mu1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila Ikulu jijini Dar es salaam.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ppo4NP4gzxY/VYqwAAfPQpI/AAAAAAAHjY4/aaPGwIqvK8M/s640/mu3.jpg)
![mu4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mu4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s72-c/mu1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAIMU MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIRY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UaDSWw6qtos/VYqv7xegzlI/AAAAAAAHjYs/P59uA2iKgX8/s640/mu1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k22NMyMN0D0/VYqv_T19zcI/AAAAAAAHjY0/vvTMir3B-1E/s640/mu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ppo4NP4gzxY/VYqwAAfPQpI/AAAAAAAHjY4/aaPGwIqvK8M/s640/mu3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PUl0ToNAdDM/VYqwCqgPRoI/AAAAAAAHjZE/TgPYB9-cVzw/s640/mu4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s72-c/D92A2654.jpg)
Rais Kikwete akutana na Balozi wa Canada nchini Tanzania Ikulu jijini Dar leo,Pia akutana na Mwenyekiti wa SAGCOT Fund
![](http://2.bp.blogspot.com/-595V2EAOnxE/U0fbVtPIOsI/AAAAAAAFZ94/4Tzsn1l9Yxw/s1600/D92A2654.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YIhJ306_WXY/U0fbnaRrL4I/AAAAAAAFZ-A/ArXu96g56WM/s1600/D92A2676.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lt-UGThwSvc/U0fcFTZv5GI/AAAAAAAFZ-Y/p6G3IZXoNkU/s1600/D92A2950.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Rais Kikwete akutana na mjumbe wa Rais wa Burundi Ikulu jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, alipofika na ujumbe wake kuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam April 29, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Sheikh Mohamed Rukara, ujumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, aliyeuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP
Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.
Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWnDjCKGSSO9SvXTNQUR33zHU9cYmHfgDir5ss6olCHSAPPRkUpP1nSNWhAhGD-lsg3Ao-8s2XsIz9kNs-uK4vE/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog20 May
Rais Kikwete akutana na viongozi wa MEWATA Ikulu jijini Dar
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Chama Cha Madaktari Wanawake Tanzania(MEWATA) baada ya kukutana na kufanya nao mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam.(picha na Freddy Maro).