Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark atembelea Bungeni Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-QiAZdEG1pkQ/U3DDoMAaUMI/AAAAAAAFhFo/tFPsjfIzRCk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark (kushoto) akikaribishwa na Spika wa Bunge Mhe.Anne Makinda mjini Dodoma baada ya kukutana na chama cha wabunge wanawake katika ukumbi wa Spika.
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark akisaini kitabu cha wageni
Mhe.Hellen Clark (katikati) akizungumza na chama cha wabunge wanawake,kushoto kwake ni mwakilishi wa UNDP hapa nchini Ndugu Philippe Poinsot na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vj7rK2hLAa0/U3HtCpUQzDI/AAAAAAAFhOg/Asf9rylFG9M/s72-c/undp3.jpg)
JK AKUTANA NA MKUU WA UNDP BIBI HELLEN CLARK
![](http://4.bp.blogspot.com/-vj7rK2hLAa0/U3HtCpUQzDI/AAAAAAAFhOg/Asf9rylFG9M/s1600/undp3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 May
Rais Kikwete akutana na Mkuu wa UNDP Bibi Hellen Clark Ikulu Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza baada ya mazungumzo Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la...
11 years ago
Michuzi12 May
MKUU WA UNDP DUNIANI HELEN CLARK ATEMBELEA HIFADHI YA RUAHA,APONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SPANEST
Kwa...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP
Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.
Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2CPhq_BxfVA/VOvcFZnQSrI/AAAAAAAHFgU/d2s9WHsnXFo/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
Mhe. Ridhiwani Kikwete atembelea Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-2CPhq_BxfVA/VOvcFZnQSrI/AAAAAAAHFgU/d2s9WHsnXFo/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ud0rD4TThlo/VmA1C8oK4qI/AAAAAAAIKBw/rwfxnAT9F2A/s72-c/20151203_105716.jpg)
Balozi Mero ashiriki Mkutano mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Viwanda Duniani (UNIDO) unaofanyika Vienna, Austria
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ud0rD4TThlo/VmA1C8oK4qI/AAAAAAAIKBw/rwfxnAT9F2A/s1600/20151203_105716.jpg)
Katika hotuba yake, Mhe. Balozi Mero, pamoja na mambo mengine...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-laxXJRJSMIk/VS4frc57gjI/AAAAAAADiaE/IaJWdN39da4/s72-c/FullSizeRender%2B(9).jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDERICK SUMAYE ATEMBELEA UWAKILISHI WA KUDUMU WA TANZANIA UMOJA WA MATAIFA NEW YORK
![](http://3.bp.blogspot.com/-laxXJRJSMIk/VS4frc57gjI/AAAAAAADiaE/IaJWdN39da4/s1600/FullSizeRender%2B(9).jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU KAMISHNA MKUU WA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI