El Merreikh bingwa Kagame Cup 2014
TIMU ya El Merreikh ya Sudan, jana ilitwaa ubingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati baada ya kuwafunga maafande wa APR ya Rwanda bao 1-0 katika mechi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Azam bingwa Kagame Cup
TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao 2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.
Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...
11 years ago
Michuzi22 Jul
11 years ago
Michuzi
2014 CECAFA- KAGAME CUP GROUPS RELEASED

The tournament which has attracted a record 14 clubs will now kick off on August 8th and not 9th and end on 24th, one day more from the earlier schedule. A total of 34 matches - all to be shown live by Supersport will be...
11 years ago
Mwananchi25 Aug
El Merreikh mabingwa Kagame
11 years ago
Michuzi29 Jun
KAGASHEKI CUP 2014: BILELE 1 vs RWAMISHENYE 3, BINGWA MTETEZI AANZA VIBAYA!! ACHAPWA NA WANA BODABODA RWAMISHENYE FC!





11 years ago
Michuzi30 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: PENATI ZAPIGWA TENA LEO KAITABA, KITENDAGURO FC YAIBUKA BINGWA NA KUSONGA NUSU FAINALI KWA PENATI 6-5 DHIDI YA TIMU YA RWAMISHENYE FC





10 years ago
MichuziKAGAME CUP
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kagame Cup Kuanza Agosti 8
10 years ago
Vijimambo24 Jul
HII NDIYO KAGAME CUP
TIMUPWDLGDPTS1Khartoum2200662Gor Mahia2200363Young Africans FC2101234KMKM3102-235Telecom3003-90Kundi B
TIMUPWDLGDPTS1APR3300492AlShandy3111043LLB AFC3021-124Heegan3012-31Kundi C
TIMUPWDLGDPTS1Azam FC2200362KCC FC2101033Malakia2101-134Adama City2002-20