Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAGAME CUP

 Kikosi cha timu ya Khartoum ya Sudan kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa nusu fainali ya michuano ya kombe la Kagame dhidi ya Gor Mahia ya Kenya kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam leo. Gor Mahi inaongoza kwa magoli 3-1. (Picha na Francis Dande) Wachezaji wa timu ya Khartoum wakishangilia bao. Mashabiki wa Gor Mahia wakishangilia timu yao. Golikipa wa timu ya Gor Mahia, Boniface Oluochakiokoa moja ya hatari langoni mwake.Mashabiki wa Gor Mahia wakishangilia timu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandalizi Kagame Cup yaendelea

Maandalizi kwa ajili ya michuano ya kombe la Kagame Cup yanaendelea huku timu zikijiandaa na michuano hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania mwenyeji Kagame Cup

Tanzania imekubali kuwa wenyeji wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati ngazi ya vilabu - Kagame Cup.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kagame Cup Kuanza Agosti 8

Michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup inaanza Agosti 8 mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Raia Tanzania

Kiingilio Kagame Cup 2000/-

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kushirikiana na wenyeji wa michuano hiyo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wametangaza kiingilio cha chini katika michuano ya Kagame kuwa ni Sh. 2,000.

Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi hii, ikishirikisha timu 13 wanachama wa Cecafa. Bingwa mtetezi ni timu ya El-Merreikh ya Sudan.

Taarifa iliyotumwa na Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto ilisema kiingilio hicho cha chini kitatumika Uwanja wa Karume....

 

11 years ago

GPL

MAKUNDI KAGAME CUP YATANGAZWA

Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limetangaza makundi ya michuano ya Kagame Cup inayotarajia kufanyika nchini Rwanda kuanzia Agosti 8. Wawakilishi wa Tanzania Yanga wamepangwa kundi A wakiwa na wenyeji Rayon Sport pamoja KMKM kutoka Zanzibar, Coffee ya Ethiopia na Atlbara ya Sudani Kusini. Makundi yako kama ifuatavyo: Kundi A: Rayon Sport (Rwanda) Yanga (Tanzania) Coffee (Ethiopia) Atlbara (South Sudan)...

 

11 years ago

Mwananchi

Kagame ‘Cup’ kufanyika Dar

Michuano ya Kombe la Kagame imepangwa kufanyika nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi Juni huku Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likiwa kwenye mazungumzo ya mwisho na wadhamini wa michuano hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO KAGAME CUP

Kundi A
TIMUPWDLGDPTS1Khartoum2200662Gor Mahia2200363Young Africans FC2101234KMKM3102-235Telecom3003-90Kundi B
TIMUPWDLGDPTS1APR3300492AlShandy3111043LLB AFC3021-124Heegan3012-31Kundi C
TIMUPWDLGDPTS1Azam FC2200362KCC FC2101033Malakia2101-134Adama City2002-20

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani