Maandalizi Kagame Cup yaendelea
Maandalizi kwa ajili ya michuano ya kombe la Kagame Cup yanaendelea huku timu zikijiandaa na michuano hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Maandalizi ya kombe la Afrika yaendelea
Wiki tano zimebaki kuanza rasmi kwa michuano ya kombe la Afrika,huko Equatorial Guinea ambao ni wenyeji wa mashindano hayo.
10 years ago
GPLYANGA YAENDELEA KUJIANDAA NA KAGAME
Kocha Hans Van der Pluijm, akielekeza kwa vitendo jinsi ya kufanya mazoezi. Daktari wa Yanga, Juma Sufiani, akimtibu kipa wa timu hiyo, Ally Mustapha ‘Barthez’, kufuatia mazoezi makali. Sehemu ya mashabiki waliofika kujionea mazoezi hayo.…
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA SABASABA YAENDELEA JIJINI DAR
Magari yakitoa vifusi ili kuweka mazingira safi.  Mmoja wa wafungwa akipaka rangi katika eneo lao. Hata fundi ujenzi huyu naye amepata ajira.…
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NKipWL9_Isw/Vg562LUUItI/AAAAAAABhkQ/9sQkrVIl8kg/s72-c/1.jpg)
MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU KANDA YA ZIWA YAENDELEA VIZURI
![](http://4.bp.blogspot.com/-NKipWL9_Isw/Vg562LUUItI/AAAAAAABhkQ/9sQkrVIl8kg/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_a9bQACOGxQ/Vg562SkgRTI/AAAAAAABhkY/S8_HGP6erXY/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q2yn7Wkng9s/Vg562bCG_MI/AAAAAAABhkU/7LxlDw8VptA/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1G0OxAuQDTA/Vg563JfX-zI/AAAAAAABhko/d6YU9Oqs8Ic/s640/5.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Kanda ya Ziwa
Imefahamika kwamba maandalizi muhimu ya uchaguzi mkuu kwa mikoa ya kanda ya ziwa yanaendelea...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YXj6rJYcCt8/Uw5maf0NfnI/AAAAAAAFP5k/yO3exLmetME/s72-c/unnamed+%252847%2529.jpg)
Maandalizi Kilimanjaro Marathon 2014 yaendelea mjini Moshi
Na Dixon Busagaga
wa Globu ya Jamii, Moshi.
Waandaaji wa mbio za Kilimanjaro Marathon wametangaza njia mpya zitakazotumika kwa mbio za mwaka huu ikiwa ni hatua nyingine muhimu katika mafanikio ya mbio hizo ambazo sasa zinaingia mwaka wa 12 tangu kuanzishwa.
Njia mpya zimelenga kuboresha mwendo wa washiriki barabarani na kuwafanya wafurahie zaidi mbio hizo zilizopangwa kufanyika tarehe 2 Machi, 2014 mjini Moshi.
Akitangaza njia hizo mpya jana, John Addison, Mkurugenzi wa Wild...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s72-c/1.jpg)
maandalizi ya maadhimisho ya miaka 37 CCM yaendelea vizuri jijini Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-dljNYLdFxj4/UuzgBaR2dYI/AAAAAAAALnk/pIFqfbOdACc/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4EApdtwPP5s/UuzgE0x2A-I/AAAAAAAALns/d9dEkJGhOhI/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-76BEjwELge4/UuzgN2rlowI/AAAAAAAALn0/UsS-NCZw5IA/s1600/26.jpg)
10 years ago
MichuziKAGAME CUP
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Kagame Cup Kuanza Agosti 8
Michuano ya klabu Bingwa Afrika mashariki na kati maafuru Kagame Cup inaanza Agosti 8 mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Kagame ‘Cup’ kufanyika Dar
Michuano ya Kombe la Kagame imepangwa kufanyika nchini Tanzania mwanzoni mwa mwezi Juni huku Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likiwa kwenye mazungumzo ya mwisho na wadhamini wa michuano hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania