KCC beat Khartoum to grab third place at Kagame Cup
KCC defeated Khartoum 2-1 to finish third at the 2015 CECAFA Kagame Cup at the National Stadium yesterday.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen26 Jul
Yanga confront Khartoum in battle for ‘second place’
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
KCC yabeba Mapinduzi Cup
HESABU za Kocha mpya wa Simba, Zdravco Logalusic, kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kuanza na mguu mzuri raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Bara, jana zilitibuka baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsoC4XRtprgaZJeu4xEoIToU-tc6It9PQWr645IAKuwLWfDJD9LNqBTfNp4b1gMMVwTH7yXCPH7aX-qJcL21xShv/2MAPINDUZI2.jpg?width=650)
KCC BINGWA MAPINDUZI CUP
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75106000/jpg/_75106763_photo.jpg)
Tetouan claim Club World Cup place
10 years ago
MichuziKAGAME CUP
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
Kiingilio Kagame Cup 2000/-
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kushirikiana na wenyeji wa michuano hiyo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) wametangaza kiingilio cha chini katika michuano ya Kagame kuwa ni Sh. 2,000.
Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumamosi hii, ikishirikisha timu 13 wanachama wa Cecafa. Bingwa mtetezi ni timu ya El-Merreikh ya Sudan.
Taarifa iliyotumwa na Ofisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto ilisema kiingilio hicho cha chini kitatumika Uwanja wa Karume....
11 years ago
Michuzi22 Jul
10 years ago
Vijimambo24 Jul
HII NDIYO KAGAME CUP
TIMUPWDLGDPTS1Khartoum2200662Gor Mahia2200363Young Africans FC2101234KMKM3102-235Telecom3003-90Kundi B
TIMUPWDLGDPTS1APR3300492AlShandy3111043LLB AFC3021-124Heegan3012-31Kundi C
TIMUPWDLGDPTS1Azam FC2200362KCC FC2101033Malakia2101-134Adama City2002-20
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Azam bingwa Kagame Cup
TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao 2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.
Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...