Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara ya Fedha yajivunia mafanikio BRN

MATOKEO Makubwa Sasa (BRN) ni mfumo unaotumiwa na serikali katika kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa baadhi ya majukumu yake yenye lengo la kupata matokeo chanya kwa muda mfupi. Mfumo huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Fedha yajivunia Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne

01

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akitoa hotuba wakati wa kufunga Mashindano ya Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushikiana na Taasisi zake liLIlofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam.

02

Meneja Mawasiliano Jamii kutoka Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-T) Margaret Mussai akifafanua jambo kwa Mgeni Rasmi Mkurugenzi...

 

9 years ago

Mtanzania

Wizara yajivunia mafanikio huduma za afya nchini

KEBWENa Veronica Romwald, Dar es Salaam

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imejivunia mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika kipindi cha serikali ya awamu ya nne katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini.

Mafanikio hayo ni pamoja na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano, kushuka  kiwango cha maambukizi ya  malaria   na kudhibiti maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi (VVU).

Akizungumza   kwenye ufunguzi wa mkutano wa waganga wakuu wa wilaya...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA FEDHA YAWEKA WAZI JINSI ITAKAVYOTEKELEZA MATOKEO MAKUBWA SASA 'BRN'

Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa 'Mablogger', iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, hivi karibuni. Semina hiyo imeandaliwa na Wizara ya Fedha kwa lengo la utaratibu wa kutimiza utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now). ************************************************* Na Sufianimafoto Reporter wizara ya fedha imeeleza wazi kuhusu mipango yake ya kutekeleza matokeo makubwa sasa(BRN) ikiwa ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

LAPF yajivunia mafanikio

MFUKO wa Pensheni wa LAPF umesema unajivunia mafaniko ya kuwa mfuko bora kuliko mingine katika kutoa huduma tangu ulipozaliwa mwaka 1944. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPA yajivunia mafanikio kiutendaji

LICHA ya kuwa na changamoto mbalimbali katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) lakini pia kuna mafanikio ya ongezeko la shehena. Ongezeko hilo linatokana na kukua kwa uchumi katika nchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHIF yajivunia mafanikio lukuki 

HIVI karibuni Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uliendesha semina ya siku moja kwa waandishi wa habari kwa lengo la kutoa elimu ya bima ya afya kwa wanahabari....

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yajivunia mafanikio Congo

Azam wasema safari ilikuwa ya mafanikio japo tumefungwa mechi ya awali ya ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya El-Merreikh.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DCB yajivunia miaka 12 ya mafanikio

WAKATI ikianza wengi walidhani haitafika mbali kutokana na kumilikiwa na wananchi. Dhati waliyoiweka katika mioyo yao na kuongozwa na viongozi waliohakikisha inanyanyuka na kutoa faida ndio imeifanya Benki ya Wananchi...

 

9 years ago

GPL

NMB YAJIVUNIA MIAKA 10 YA MAFANIKIO

Mkurugenzi wa NMB - Ineke Bussemaker (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tanzania Editors Forum) jijini Dar es Salaam jana kuhusu maadhimisho ya miaka 10 ya benki hiyo tangu ilipobinafsishwa na hatua ilizopiga katika maendeleo ya benki. Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (Tanzania Editors Forum) wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (katikati) jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani