Mtoto Sophia anaomba msaada ili aweze kupata matibabu
Sophia Abdul (14)
Na Amon Mtega – Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamaria wema.
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s72-c/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU
Na Amon Mtega - Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s1600/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s1600/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...
11 years ago
MichuziBINTI SELITIAN NATA,MWENYE UVIMBE ANAOMBA MSAADA WA MATIBABU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s72-c/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s640/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3K9uvZxk6oU/XqvwY25P-TI/AAAAAAALowA/DlARQbJem8sPwUG94jGZj_yedwgSDz2aQCLcBGAsYHQ/s72-c/e596a04f-eb62-4068-b38c-ee46abdf4d15.jpg)
GEOFREY JULIUS MCHANGA ANAOMBA MSAADA WAKO WA MATIBABU YA MOYO, MAPAFU NA TEZI YA SHINGO KUOKOA MAISHA YAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-3K9uvZxk6oU/XqvwY25P-TI/AAAAAAALowA/DlARQbJem8sPwUG94jGZj_yedwgSDz2aQCLcBGAsYHQ/s400/e596a04f-eb62-4068-b38c-ee46abdf4d15.jpg)
KILA Binadamu anapitia mapito aliyoandikiwa na muumba wa Dunia. Kila pito lina njia yake ya kuingia na kutokea.
Tunaamini mpendwa wetu Bwana. GEOFREY JULIUS MCHANGA (Pichani) yupo katika mapito, hakika kwa pamoja tukiungana tutaweza kumsaidia kuwa katika hali yake kama awali.
Kwa sasa msaada wa haraka unahitaji zaidi kuokoa maisha yake akitakiwa kwenda Dar es Salaam (Muhimbili).
Anatakiwa kufanyiwa vipimo zaidi na upasuaji wa matatizo yake yanayomkabili ya maradhi ya...
10 years ago
MichuziFamilia ya mtoto aliyegongwa na fuso na kukatwa miguu anaomba msaada wa kisheria
10 years ago
Dewji Blog09 May
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s72-c/IMG-20140609-WA0003.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa Mtoto Maimuna Yahaya (11)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iurvYMsRfrY/U5VWqwez2VI/AAAAAAAAV70/wEG6reC9-xM/s1600/IMG-20140609-WA0003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RxKspd_dV0A/U5VWqrNFWkI/AAAAAAAAV7w/aL8RXx_2ZVc/s1600/IMG-20140609-WA0002.jpg)
Msaada wa Matibabu kwa mtoto Maimuna Yahaya Mtoto Maimuna Yahaya (11) anayesoma shule ya Msingi ya watoto wenye mahitaji maalum (wenye ulemavu) ya Irente Rainbow (Lushoto- Tanga) Darasa la pili, anasumbuliwa na tatizo la mifupa na ukubwa wa kichwa tangu kuzaliwa kwake, tatizo lililompelekea kuwa na ulemavu wa viungo na mtindio wa Ubongo. Mama wa mtoto huyo, Bi. Tunu...
10 years ago
MichuziMSAADA TUTANI ILI KUOKOA UHAI WA MTOTO HUYU
Mama mzazi wa Mtoto Bi. Zainabu Mustafa Rajab,alisema kuwa Binti yake huyo alizaliwa April 24 mwaka huu katika hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru,na kwambatatizo hilo la kuanza kukua kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania