Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHUMILETA ADAIWA KUMUUZA LUNGI KWA MWANAUME

Stori: HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu aliyepotea kwenye soko la filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’ amedaiwa kumuuza msanii mwenzake wa kike, Lungi Maulanga kwa mwanaume aishie nchini India. Lungi Maulanga. Kwa mujibu wa chanzo makini, mchongo huo ulifanyika kupitia mtandao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mama mzazi adaiwa kumuuza mwanaye kwa Sh70,000

Monduli. Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nanja, Kata ya Lepruko, wilayani Monduli, anadaiwa kumuuza mtoto wake wa kumzaa kwa mtu mwingine kwa Sh70,000 kwa madai kuwa ana maisha magumu.

 

10 years ago

GPL

LUNGI ADAIWA KUTUPIWA JINI, APOOZA

Hamida Hassan
NYOTA wa filamu za Kibongo Lungi Maulanga hivi karibuni anadaiwa kutupiwa jini na wabaya wake wakiwemo wanafamilia yake kitendo kilichosababisha apooze upande mmoja wa mwili wake. Nyota wa filamu za Kibongo Lungi Maulanga. Chanzo makini kinasema hofu yao kubwa ni kuwa kitendo hicho kilifanywa na baadhi ya ndugu zake kufuatia tofauti zao za kifamilia zilizosababisha kufikishana mahakamani. “Katika shauri...

 

10 years ago

GPL

WOLPER ADAIWA KUPORA BWANA WA LUNGI, AJITETEA

Hamida Hassan na Gladnes Mallya Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga amemshangaa msanii mwenzake Jacqueline Wolper kwa kutoka kimapenzi na mwanaume wake aitwaye Jimmy. Staa wa filamu za Kibongo, Jackline Wolper. Sosi wa karibu na mastaa hao alidai kuwa, baada ya hivi karubuni gazeti ndugu na hili la Risasi Jumamosi kuandika kuwa Wolper amepata kigogo mpya aitwaye Jimmy, Lungi alishangaa, akajiuliza imekuwaje tena Wolper...

 

10 years ago

CloudsFM

MWANAUME ADAIWA KUDONDOKA ANGANI AKIWA NA MATITI

Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapoishi amedaiwa kuanguka angani akiwa mtupu kama alivyozaliwa huku akiwa na matiti kama mwanamke,mwanaume huyo alinusurika kupigwa na wananchi wenye hasira na kuokolewa na polisi na kupelekwa kwenye kituo cha polisi cha Magomeni.Mwanaume huyo ambaye anahusishwa na imani za kishirikiana akiwa amepewa nguo katika kituo cha polisi cha Magomeni,jijini Dar.

 

9 years ago

GPL

PENZI LA SHUMILETA LAMTESA TX MOSHI JR

Brighton Masalu MAHABA niteketeze! Moshi William ‘Tx Moshi Jr’, mwimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma anaendelea kuwewesekea penzi la aliyekuwa mpenzi wake wa zamani ambaye pia ni msanii wa filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’. Moshi William ‘Tx Moshi Jr’, mwimbaji wa Bendi ya Msondo Ngoma. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar, Moshi alisema ingawa...

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani