Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAUME ADAIWA KUDONDOKA ANGANI AKIWA NA MATITI

Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapoishi amedaiwa kuanguka angani akiwa mtupu kama alivyozaliwa huku akiwa na matiti kama mwanamke,mwanaume huyo alinusurika kupigwa na wananchi wenye hasira na kuokolewa na polisi na kupelekwa kwenye kituo cha polisi cha Magomeni.Mwanaume huyo ambaye anahusishwa na imani za kishirikiana akiwa amepewa nguo katika kituo cha polisi cha Magomeni,jijini Dar.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume

Kwa kawaida mwanaume ameumbwa kuwa na matiti madogo, ugonjwa wa wanaume kuwa na matiti makubwa kama wanawake huleta usumbufu hasa wa kisaikologia kwa mwanume husika.

 

10 years ago

Mtanzania

Bibi kizee aanguka akiwa anasafiri angani

SAM_2318Na Kadama Malunde, Shinyanga

KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina.
Akielezea tukio hilo jana, Mwandu alisema lilitokea nje ya nyumba ambapo alishangazwa kumkuta...

 

11 years ago

GPL

SHUMILETA ADAIWA KUMUUZA LUNGI KWA MWANAUME

Stori: HAMIDA HASSAN NA GLADNESS MALLYA Huku kukiwepo na madai ya baadhi ya mastaa wa Bongo kwenda nchi za nje kufanya biashara ya kujiuza, siri imevuja kuwa, staa wa filamu aliyepotea kwenye soko la filamu Bongo, Jennifer Mwaipaja ‘Shumileta’ amedaiwa kumuuza msanii mwenzake wa kike, Lungi Maulanga kwa mwanaume aishie nchini India. Lungi Maulanga. Kwa mujibu wa chanzo makini, mchongo huo ulifanyika kupitia mtandao...

 

9 years ago

Vijimambo

UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA

Juzi mitandaoni habari iyomake headline sana kwa upande wa wasanii ilikuwa ni habari ya Mwigizaji Jack Wolper kuvishwa pete ya uchumba.. Sasa jana Watu wameibua jipya huku instagram imetapakaa picha ikimuonyesha mwanaume aliyemvisha pete Jack Akiwa na Mkewe ikimaanisha tayari ana ndoa ..
Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!
CHANZO: UDAKU SPECIALLY

 

11 years ago

GPL

PAMOJA NA SNOW KUDONDOKA WATANZANIA WASHINGTON WAHUDHURIA MKUTANO WA PSPF

Mkurugenzi wa PSPF Bwana Adam Mayingu akizungumza na wana Jumuiya ya DMV kuhufu faida za kujiunga na Mfuko huo wa Pensheni,Aliwahasa Watanzania kujiunga na mfuko huo wa Pensheni wa hiari ilikuweza kujipatia mafao mbali mbali kama, Mikopo ya nyumba,Elimu,Biashara,Fao la Kifo pamoja na Fao la ugonjwa. Katibu wa CCM DMV Yacob Kinyemi na Katibu Mwenezi bi Salma wakisikiliza kwa… ...

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy

Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari  wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”

Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema  aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani