MWANAUME ADAIWA KUDONDOKA ANGANI AKIWA NA MATITI
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapoishi amedaiwa kuanguka angani akiwa mtupu kama alivyozaliwa huku akiwa na matiti kama mwanamke,mwanaume huyo alinusurika kupigwa na wananchi wenye hasira na kuokolewa na polisi na kupelekwa kwenye kituo cha polisi cha Magomeni.
Mwanaume huyo ambaye anahusishwa na imani za kishirikiana akiwa amepewa nguo katika kituo cha polisi cha Magomeni,jijini Dar.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Bibi kizee aanguka akiwa anasafiri angani
Na Kadama Malunde, Shinyanga
KATIKA hali ya kushangaza, bibi kizee anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka (70), asiyejulikana jina wala makazi yake, ameanguka akiwa uchi wa mnyama nyumbani kwa Suzana Mwandu, mkazi wa Mtaa wa Mageuzi mkoani Shinyanga.
Tukio hilo lilitokea juzi ambapo bibi huyo baada ya kuanguka alianza kutembelea makalio bila kuzungumza chochote jambo ambalo limedaiwa ni ushirikina.
Akielezea tukio hilo jana, Mwandu alisema lilitokea nje ya nyumba ambapo alishangazwa kumkuta...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iUv78M6iXhNtflMr7kUh1WmHNrG6C6P3jylp1psW2732d3yISE-yrJao-3vv8x5lpdSjGvaRV3YH7GE3kxT5ru/siri.jpg?width=650)
SHUMILETA ADAIWA KUMUUZA LUNGI KWA MWANAUME
9 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s72-c/IMG_20150903_230049.jpg)
UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s640/IMG_20150903_230049.jpg)
Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4Ymt6iZZRWY/VekqD2fCK6I/AAAAAAAA0f4/wX6YmALBlUE/s640/IMG_20150904_081849.jpg)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-3ZgRuTBGwKU/UqWXQRnjDbI/AAAAAAAAMMI/sI3YgcTIQnA/s1600/20131208_190321.jpg?width=640)
PAMOJA NA SNOW KUDONDOKA WATANZANIA WASHINGTON WAHUDHURIA MKUTANO WA PSPF
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw
MOJA ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua, kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy
Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”
Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...