Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume
Kwa kawaida mwanaume ameumbwa kuwa na matiti madogo, ugonjwa wa wanaume kuwa na matiti makubwa kama wanawake huleta usumbufu hasa wa kisaikologia kwa mwanume husika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1olEQnFCxY12prQNbX0YywIHvVfi0JwNL-Xk7sDQEDIoRXs6nguE5NeKrdoENctxzSbHVQ9UaNNgfPbsbxVyAl/constipation530x450.jpg?width=650)
JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?
10 years ago
CloudsFM03 Dec
MWANAUME ADAIWA KUDONDOKA ANGANI AKIWA NA MATITI
Mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina lake na mahali anapoishi amedaiwa kuanguka angani akiwa mtupu kama alivyozaliwa huku akiwa na matiti kama mwanamke,mwanaume huyo alinusurika kupigwa na wananchi wenye hasira na kuokolewa na polisi na kupelekwa kwenye kituo cha polisi cha Magomeni.
Mwanaume huyo ambaye anahusishwa na imani za kishirikiana akiwa amepewa nguo katika kituo cha polisi cha Magomeni,jijini Dar.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ji91JCZDQgk/U7PNIQ_UktI/AAAAAAAFuMI/-TRZxgMsJyM/s72-c/New+Picture+(1).png)
KUKUA KWA KASI KWA BIMA INAYOFUATA MAADILI YA KI-ISLAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ji91JCZDQgk/U7PNIQ_UktI/AAAAAAAFuMI/-TRZxgMsJyM/s1600/New+Picture+(1).png)
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu
MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo.
Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.
Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...
9 years ago
Bongo501 Dec
Hermy B na Pancho kumleta Mwana FA na ‘Asanteni Kwa Kuja’
![12298952_951039554970796_1769017982_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298952_951039554970796_1769017982_n1-300x194.jpg)
Mwana FA na Hermy B wakikutana hawajawahi kumiss zaidi ya kuhit!
Uzikumbuka ‘Habari Ndio Hiyo’, ‘Bado Nipo Nipo’, ‘Naongea Na Wewe’, ‘Msiache Kuongea’ , ‘Naona Nazeeka Sasa’ na ‘Nangoja Ageuke?’ Hizi zote zilipigwa nwa Hermy B kwenye studio za B’Hits na sasa wawili hao wanakuletea ‘Asanteni Kwa Kuja.’
FA ambaye amekuwa kimya tangu aachie ‘Kiboko Yangu’ aliyomshirikisha Alikiba, anavunja ukimya kwa ngoma hiyo yenye kila dalili za kuja kuwa gumzo kama zilivyo ngoma zake nyingi.
Hermy B...
9 years ago
MichuziTCCIA Investment Limited yatangaza kukua kwa mtaji
9 years ago
Bongo528 Dec
Hutobashiri staa aliyempa Mwana FA idea ya chorus ya ‘Asanteni kwa Kuja’
![12298952_951039554970796_1769017982_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298952_951039554970796_1769017982_n-1-300x194.jpg)
Mwana FA amemtaja mtu aliyemsaidia kumpa idea ya chorus ya wimbo wake mpya ‘Asanteni kwa Kuja.’
Mwana FA akiwa na P-Funk Majani na Hermy B
Mtu huyo si mwingine bali ni P-Funk Majani. “Mimi nilikuwa na jina la wimbo,” FA ameiambia Bongo5.
“Nikaenda na sampling mpaka kwa Hermy, tumekaa nje kwa Sallam meneja wa Diamond, Hermy akatengeneza beat, jamaa wanacheza ile foosball na akina Ambwene, tumekaa mimi na Hermy akatengeneza beat hapo hapo nje. Kwahiyo mimi nikawa nayo, jina la wimbo ninalo na...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
UJAUZITO WIKI YA TISA: Mtoto anaanza kukua kwa kasi
INAPOINGIA wiki hii, mtoto anakuwa amekua na kufikia urefu wa kama inchi moja hivi. Anakuwa ameshazidi ukubwa wa haragwe ambao alikuwa nao wiki iliyopita. Wakati huu anakuwa ameshaanza kuonyesha viungo...
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...