Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu

MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo. 

Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.

Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

NECTA kutoa matokeo kwa mfumo wa GPA

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limetangaza mfumo mpya wa upangaji wa madaraja ya ufaulu kwa kutumia wastani wa pointi (GPA) ambao utaanza kutumika katika mtihani wa kidato cha nne...

 

11 years ago

Michuzi

KUKUA KWA KASI KWA BIMA INAYOFUATA MAADILI YA KI-ISLAMU

Katika biashara zinazokua kwa kasi duniani ni biashara ya bima inayofuata maadili ya ki- Islam inayojulikana kama ‘Takaful’. Misingi ya bima inayofuata maadili ya ki - Islam ni ushirikiano wa pande zote zinazohusika ktk biashara hiyo. Washiriki wote katika Takaful watashirikiana katika faida na hasara, kwa mfano, yoyote atakaenunua bima hiyo atakua ni kama mjasiri mali (investor) sambamba na yule anaendesha biashara hiyo (the takaful operator) na pande nyingine zitakazohusika kama vile...

 

10 years ago

Habarileo

Elimu waokoa mil 33/- kwa kutangaza matokeo mtandaoni

WIZARA ya Elimu imesema imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 33 ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kutoa matangazo ya mitihani kwa wanafunzi wa kidatu cha pili na darasa la saba katika vyombo vya habari.

 

10 years ago

Mwananchi

Kukua au kujaa matiti kwa mwanaume

Kwa kawaida mwanaume ameumbwa kuwa na matiti madogo, ugonjwa wa wanaume kuwa na matiti makubwa kama wanawake huleta usumbufu hasa wa kisaikologia kwa mwanume husika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vifaa vinavyoendeshwa kwa SMS

Vifaa mbalimbali vya jikoni vyenye uwezo wa kuendeshwa kwa ujumbe mfupi wa simu vimeendelea kuuzwa Korea Kusini.

 

9 years ago

Michuzi

TCCIA Investment Limited yatangaza kukua kwa mtaji

Kampuni ya TCCIA Investment Limited imeongeza mtaji wake kutoka Tshs Bilioni 21 mwaka 2013/2014 hadi kufikia Tshs Bilioni 33 mwaka 2014/2015 kutoka kwa wanahisa wake.  Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa kumi wa wanahisa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Bw. Donald Kamori alisema ongezeko hilo linatokana na usimamizi mzuri wa Bodi ya wakurugenzi wa TCCIA Investment Company Limited, kufanya kazi kwa ufasini na waledi. “Miaka kumi iliyopita mtaji wetu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA TISA: Mtoto anaanza kukua kwa kasi

INAPOINGIA wiki hii, mtoto anakuwa amekua na kufikia urefu wa kama inchi moja hivi. Anakuwa ameshazidi ukubwa wa haragwe ambao alikuwa nao wiki iliyopita. Wakati huu anakuwa ameshaanza kuonyesha viungo...

 

10 years ago

Mwananchi

Waibua maswali kusimamishwa kazi kwa aliyemtumia ‘SMS’ JK

>Nani alivujisha siri? Hili ndilo swali linaloumiza vichwa vya wananchi wengi sasa, baada ya Hospitali ya KCMC kumsimamisha kazi mtumishi wake, kwa madai ya kutuma ujumbe wa simu ya mkononi (sms) kwa Rais Jakaya Kikwete.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani