Elimu waokoa mil 33/- kwa kutangaza matokeo mtandaoni
WIZARA ya Elimu imesema imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 33 ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kutoa matangazo ya mitihani kwa wanafunzi wa kidatu cha pili na darasa la saba katika vyombo vya habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
ZEC: Maalim Seif anapaswa kuchuliwa hatua za kisheria kwa kutangaza matokeo
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema imesikitishwa na kitendo cha mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) kujitangazia ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili tarehe 25 Oktoba, 2015 na imevitaka vyombo vinavyosimamia utii wa sheria kumchukulia hatua kiongozi huyo wa CUF.
“kitendo cha Maalim Seif kujitangaza mshindi amevunja kifungu cha 42 (5) cha sheria ya mwaka 1984 ambacho kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kuwa chombo pekee chenye mamlaka hayo” Mwenyekiti...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-
OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu
MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo.
Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.
Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ISR2PcDwDGg/Vi0K63x2gnI/AAAAAAAICso/XWmZmFQy8BQ/s72-c/New%2BPicture.png)
KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-ISR2PcDwDGg/Vi0K63x2gnI/AAAAAAAICso/XWmZmFQy8BQ/s200/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu utangazaji wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa vyombo vya utangazaji kwa mujibu wa Kanuni za Huduma za Utangazaji (Maudhui) (Utangazaji wa Uchaguzi wa Vyama vya Siasa), 2015. Kanuni hizi zipo kwa mujibu wa Sheria kama ilivyotolewa na Gazeti la Serikali la Tarehe 26 Juni, 2015. Kanuni hizi zinalenga kuweka utaratibu mzuri wa...
9 years ago
Mwananchi21 Aug
NEC kutangaza matokeo urais ndani ya siku tatu
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Jaji-Lubuva-620x309.jpg)
NEC YAKAMILISHA ZOEZI LA KUTANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS
10 years ago
VijimamboTAASISI YA KIFEDHA YA BAYPORT YAKABIDHI HUNDI YA MIL 3 KWA WATEGEMEZI WA FAO LA ELIMU MKOANI MBEYA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3M_FOxHS4w/VkMeI9h55-I/AAAAAAAIFS4/RvP7mm_pjgM/s72-c/IMG_3873.jpg)
ACT WAZALENDO WAMWOMBA RAIS MAGUFULI KUAMURU ZEC KUTANGAZA MATOKEO ZANZIBAR
Zitto amesema kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) hakuwa na mamlaka yoyote ile katika tume hiyo ya kukufuta matokeo ya uchaguzi...