KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-ISR2PcDwDGg/Vi0K63x2gnI/AAAAAAAICso/XWmZmFQy8BQ/s72-c/New%2BPicture.png)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAMAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu utangazaji wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa vyombo vya utangazaji kwa mujibu wa Kanuni za Huduma za Utangazaji (Maudhui) (Utangazaji wa Uchaguzi wa Vyama vya Siasa), 2015. Kanuni hizi zipo kwa mujibu wa Sheria kama ilivyotolewa na Gazeti la Serikali la Tarehe 26 Juni, 2015. Kanuni hizi zinalenga kuweka utaratibu mzuri wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNEC KUTANGAZA MAJIMBO MAPYA YA UCHAGUZI MKUU 2015, JUNI 31
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ,Kailima Ramadhani amesema ugawaji huo utakuwa umezingatia idadi ya watu,jiografia ya eneo husika pamoja mawasiliano na uchumi ili kuweza kuwalishwa na bunge katika maendeleo ya jimbo.
Ramadhan...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
— Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015-
assalam alaikum ndugu zangu tafadhalini tuwekeni hapa matokeo ya vituo na majimbo yetu kwenye comment chini hapo, tujaribu kuwa na ufasaha na kuwa na taarifa kamili kabla ya kuweka,ili tuwajuze ndungu zetu walio nje ya nchi […]
The post – Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015- appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo24 Aug
Maalim Seif: Nitaheshimu matokeo uchaguzi mkuu
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar, huku akisema endapo akishindwa kuibuka mshindi, ataheshimu matokeo na kumpongeza atakayeshinda.
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Tulinde Amani tunapoendelea kupokea matokeo ya Uchaguzi Mkuu
![IMG-20151027-WA0019](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/IMG-20151027-WA0019.jpg)
Ndugu watanzania wenzetu, tunapenda kuwapongeza kwa kumaliza mchakato wa kampeni za vyama vya siasa na wagombea kwa amani na utulivu. Vile vile tunawapongeza kwa kupiga kura kwa kwa amani na utulivu, kwani pamoja na kujitokeza kwa wingi tulipiga kura kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi ukiachilia mbali kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza katika zoezi hilo.
Ndugu watanzania wenzetu, tangu juzi jumapili 25 Oktoba tulianza kupokea matokeo. Hiyo ni hatua muhimu sana kwa taifa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Mkurugenzi-wa-Idara-ya-Habari-MaelezoAssah-Mwambene-kulia-akizungumza-na-wanahabari..jpg)
SERIKALI YATAHADHARISHA VYOMBO VYA HABARI NA MATOKEO BATILI YA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Dewji Blog25 Oct
TCRA yatoa angalizo kwa vyombo vya Habari utangazwaji matokeo ya uchaguzi mkuu
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya. Mawasiliano Tanzania, (TCRA), Dk. Ally Yahaya Simba.
Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari_ Matokeo Ya Uchaguzi Mkuu 2015
9 years ago
CCM Blog01 Nov
DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO
![ma1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/ma1.jpg)
![mag2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/mag2.jpg)
10 years ago
MichuziUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI
10 years ago
VijimamboUCHAGUZI WA SERIKALI YA MTAA WA MIGOMBANI WAINGIA KWIKWI MARA BAADA YA AFISA MTENDAJI WA KATA YA SEGEREA KUJA KUTANGAZA KUSITISHA UCHAGUZI