Maalim Seif: Nitaheshimu matokeo uchaguzi mkuu
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar, huku akisema endapo akishindwa kuibuka mshindi, ataheshimu matokeo na kumpongeza atakayeshinda.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Feb
Maalim Seif awataka WanaCUF kutovunjika moyo na matokeo ya uchaguzi mdogo jimbo la Kiembesamak
![](https://3.bp.blogspot.com/-zzd17MjdJwY/UvZAjFNPhAI/AAAAAAABAcY/eLjVapr8ng4/s1600/blw+1.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-N4u4juygyEs/UvZAjOwz_QI/AAAAAAABAcc/Ykmlgw8SUac/s1600/blw+3.jpg)
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ADHAMINIWA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR UCHAGUZI MKUU UJAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qHQoYNpYxNM/VUc-m0rjV9I/AAAAAAAA8R0/CTJB9Z0nJZM/s640/ud2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
ZEC: Maalim Seif anapaswa kuchuliwa hatua za kisheria kwa kutangaza matokeo
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema imesikitishwa na kitendo cha mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) kujitangazia ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili tarehe 25 Oktoba, 2015 na imevitaka vyombo vinavyosimamia utii wa sheria kumchukulia hatua kiongozi huyo wa CUF.
“kitendo cha Maalim Seif kujitangaza mshindi amevunja kifungu cha 42 (5) cha sheria ya mwaka 1984 ambacho kinaipa mamlaka Tume ya Uchaguzi kuwa chombo pekee chenye mamlaka hayo” Mwenyekiti...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Maalim Seif: CUF jipange kwa uchaguzi
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuanzisha mitandao ya kupeana taarifa kuhamasishana na kusaidiana kutafuta vitambulisho vya kupigia...
10 years ago
Mwananchi12 May
ZEC yamjibu Maalim Seif uchaguzi Zanzibar
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Uchaguzi rahisi CUF: Maalim Seif na timu ya ushindi 2015
11 years ago
Habarileo23 Jun
UCHAGUZI WA CUF:Wawili kumkabili Lipumba, Maalim Seif mgombea pekee
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, na Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad bado wanahitaji kuendelea na nafasi hizo za uongozi kitaifa baada ya kuchukua fomu kuzitetea katika uchaguzi utakaofanyika wiki hii.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2bjJJhuJIm0/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jmLRdCADckE/VnLKVLZ46XI/AAAAAAAINJo/i0oiMVrqr3M/s72-c/ala4.jpg)
JAJI MARK BOMANI AMSHAURI MAALIM SEIF AKUBALI UCHAGUZI URUDIWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-jmLRdCADckE/VnLKVLZ46XI/AAAAAAAINJo/i0oiMVrqr3M/s640/ala4.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
JAJI Mkuu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Mark Boman amesema kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja Zanzibar, Maalim Seif Hamad akubali uchaguzi urudiwe Zanzibar kwani kama alishinda atashinda tena kutokana na waliompigia katika uchaguzi ulifutwa watampIgia kura tena.
Boman ameyasema hayo leo jijini Dar eS Salaam , wakati akizungumza na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10