DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO
Rais Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila pembe ya dunia mshindi wa ...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-z6LQdPBQj0o/VjIrrcTaCKI/AAAAAAAA018/pwR6FKs4UU8/s72-c/matokeoooo.png)
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s72-c/1-47-2048x1353.jpg)
MREMA: RAIS MAGUFULI NDIYE MGOMBEA WETU WA URAIS UCHAGUZI MKUU WA OKTOBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdMJYk0IcuI/XvOFyD83OcI/AAAAAAALvTI/Am3vXUyoQ7E5IcspwdvFkjmll2zWCL-bACLcBGAsYHQ/s640/1-47-2048x1353.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1b-2-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augistino Lyatonga Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka huu 2020.
*********************************
Na Mwandishi Wetu, MAELEZO,
DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party, Augustino Mrema amesema chama hicho kinaendelea na msimamo wake wa kumuunga mkono, Rais Dkt. John Magufuli kuwa mgombea wake wa nafasi ya...
10 years ago
Vijimambo03 Dec
RAIS KIKWETE AMUAPISHA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI LEO IKULU
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/1.jpg)
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-1.jpg)
![](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VKyYsb1DAig/VKqM1yMqTOI/AAAAAAAG7a0/p5C7KCG2X-k/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKyYsb1DAig/VKqM1yMqTOI/AAAAAAAG7a0/p5C7KCG2X-k/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TYHEW0zvCo4/VKqM15hvsGI/AAAAAAAG7aw/FOcPkCp_Ztk/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4BEnlUk_h4/VKqM2-GwOFI/AAAAAAAG7bA/cPS3piR_Tns/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Rais Dkt.Magufuli amwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ikulu Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akisalimina na Makamu wake, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati aliwapowasili kwenye Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam, leo asubuhi Okt. 6, 2015 kwa ajili ya kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, aliyemteua jana Okt 5, 2015 mara tu baada ya kuapishwa rasmi. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha George...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-m1OTpTaao4Q/VKqLczAbhGI/AAAAAAADUx8/CA9uihaqqK8/s72-c/1.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-m1OTpTaao4Q/VKqLczAbhGI/AAAAAAADUx8/CA9uihaqqK8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Italj0Co_mc/VKqLc_CHFZI/AAAAAAADUyA/TCXxvn0xPU0/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WamWR00j4Rc/VKqLdSWpZ2I/AAAAAAADUyI/nHsxTjjQn4k/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Oct
CCM YAPOKEA KWA FURAHA FRELIMO KUIBUKA ,MSHINDI KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MSUMBUJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-44CbdeNFgqw/VFNS_ZdcTCI/AAAAAAAArlo/PyZd3qoOi24/s1600/NAPE.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepokea kwa furaha Chama cha Frelimo kuibuka na ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 15, mwaka huu.
Katika uchaguzi huo, aliyekuwa mgombea kwa tiketi ya Frelimo, Filipe Nyusi ameibuka kidedea na sasa ndiye Rais Mteule wa Msumbiji ambaye baada ya kuapishwa atashika mikoba itaakayoachwa na Rais anayemaliza muda wake, Armando Gwebuza.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akabidhiwa rasmi ofisi na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Ikulu, Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-tgNcoF9ufak/VkSPy6o24LI/AAAAAAAIFdo/DC7CsZoc1B0/s640/jpJK%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s640/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2j3mXwwlBQ/VkSQRrOdHAI/AAAAAAAIFd8/hheeKoqrIMk/s640/jpJK%2B%25283%2529.jpg)