Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vifaa vinavyoendeshwa kwa SMS

Vifaa mbalimbali vya jikoni vyenye uwezo wa kuendeshwa kwa ujumbe mfupi wa simu vimeendelea kuuzwa Korea Kusini.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Mfumo wa matokeo kwa sms ni kukua kwa elimu

MIAKA ya 70 iliyopita hali ya elimu nchini haikuwa ya kuridhisha kutokana na kukosekana vifaa vya kufundishia na madarasa ya kutosha, tofauti na sasa mambo yamekuwa mazuri kila kitu kinafanyika kwa kimaendeleo. 

Mfumo ambao nataka kuuzungumia hapo ulikuwa ni ule wa wanafunzi walivyokuwa wanasoma huku wamekaa chini au pembezoni mwa miti kutokana na kukosa madawati.

Kwa sasa tumepiga hatua kubwa katika maendeleo ya sekta ya elimu hasa baada ya uwekezaji wa elimu kuongezeka kwa kiasi...

 

10 years ago

Mwananchi

Waibua maswali kusimamishwa kazi kwa aliyemtumia ‘SMS’ JK

>Nani alivujisha siri? Hili ndilo swali linaloumiza vichwa vya wananchi wengi sasa, baada ya Hospitali ya KCMC kumsimamisha kazi mtumishi wake, kwa madai ya kutuma ujumbe wa simu ya mkononi (sms) kwa Rais Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

BBC

My SMS relationship with al-Shabab

Getting text messages in bed - from al-Shabab

 

9 years ago

Michuzi

NBC LAUNCHES SMS ALERT


PRESS RELEASENATIONAL BANK OF COMMERCE NBC LAUNCHES SMS ALERT
Dar es Salaam, 8thSeptember 2015NBC has today launched SMS alert service that enables NBC customers to receive instant SMS notifications on their registered mobile phone numbers of transactions carried out on their accounts. The SMS notifications enable NBC customers to instantly keep track of transactions happening on their accounts. 
“In addition, this service will allow our customers to identify if their accounts have carried...

 

10 years ago

Habarileo

Sms wakati wa uchaguzi kuchujwa

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaKATIKA kuhakikisha uchochezi unaoweza kuvuruga amani ya nchi unadhibitiwa wakati wa uchaguzi, Serikali imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuja na mwongozo wa kampuni za simu katika kudhibiti ujumbe mfupi kwa njia ya simu.

 

10 years ago

GPL

SMS ZA USAGAJI ZA ANTI LULU ZANASWA

Stori: Waandishi Wetu Kimenuka! Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara, Ijumaa lina kisa na mkasa.
Mama huyo, akiwa amefura, alitinga kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers...

 

9 years ago

Michuzi

MZUSHAJI SMS NYINGINE YA MWAMUNYANGE KIZIMBANI

Na Mwene Said wa blogu ya jamii, Dar es Salaam.George Aloyce Kimaryo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kusambaza taarifa zauongo kupitia katika kundi la Adios la mtandao wa WhatsApp  kuwa Mwanafunzi  wa Chuo cha DIT,  Benedict Angello  Ngonyani amejitokeza  kwa mara ya pili mahakamani na kuishangaza kwa kumtaka Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange ajitokeze na kukanusha kuwa amelishwa sumu.
Wakili wa Serikali  Jaquline Nyantori...

 

11 years ago

BBCSwahili

CAR yabana ujumbe mfupi (SMS)

Maafisa wa utawala Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamebana matumizi ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi baada ya kusema kuwa ni tisho kwa usalama wa nchi.

 

10 years ago

TheCitizen

Calls, SMS cost Sh1tr monthly

Dar es Salaam. Tanzanians are spending over Sh1 trillion each month to make calls and send messages, fresh data indicates

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani