Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMS ZA USAGAJI ZA ANTI LULU ZANASWA

Stori: Waandishi Wetu Kimenuka! Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara, Ijumaa lina kisa na mkasa.
Mama huyo, akiwa amefura, alitinga kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SMS ZA MAPENZI ZA KAJALA NA BWANA ALIYEKUWA WA WEMA ZANASWA

DEOGRATIUS MONGELA/Amani BAADA ya taarifa za mwigizaji Kajala Masanja kudaiwa kumuibia bwana aliyekuwa shosti yake, Wema Sepetu kudumu kwa muda mrefu na kukosa ushahidi wa moja kwa moja, hatimaye ushahidi wa SMS za mapenzi za Kajala na bwana huyo wa Wema ambaye ni kigogo zimenaswa, Amani linakumegea mchongo kamili. Staa wa Bongo Movie, Kajala Masanja. Chanzo makini kilichokuwa karibu na Kajala na kigogo huyo, kilipenyeza habari...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU: NITAFANYA DHAMBI ZOTE SI USAGAJI

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa yupo tayari kutenda dhambi zote lakini si ya usagaji. MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akistorisha na Bongowood hivi karibuni, Aunty Lulu alisema usagaji umekithiri kwa mastaa wa kike Bongo na ameshuhudia baadhi yao (hakuwataja majina) wakiwadekea wanawake wenzao ‘kimalovee’....

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU AMWANGUKIA MAMA’KE KWA USAGAJI

Stori: Imelda Mtema
SORY! Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa skendo ya kujihusisha ya vitendo vya kisagaji inayomuandama imemsababishia msala mkubwa kwa mama yake na kuamua kumuomba radhi. Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ akiwa ndani ya ofisi za Global. Akizungumza na paparazi wetu, Aunty Lulu alisema mama yake ana ugonjwa wa presha hivyo amejirekebisha...

 

11 years ago

GPL

ANTI LULU ANASWA NA NJEMBA

MWANADADA asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ juzikati alinaswa ‘live’ akiwa kimalovee na mcheza soka wa zamani aitwaye Amani Simba. Wawili hao walibambwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini Dar wakipunga upepo na walipowaona mapaparazi wa gazeti hili walishituka na kutaka kujificha. Akizungumzia uhusiano wake na Amani, Anti Lulu alisema: ”Jamani acheni udaku wenu, siku...

 

10 years ago

GPL

WASTARA, ANTI LULU WAPATANA

Brighton Masalu Safi sana! Mwigizaji Wastara Juma Issa Abeid na Mtangazaji Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’, wamepatana baada ya kuwepo kwa mkwaruzo kati yao kwa muda mrefu, kisa kikielezwa ni mwanaume ambaye ni mwigizaji wa Bongo Movies, Bond Bin Sinan, Ijumaa Wikienda limehusika. Mwigizaji Wastara Juma Issa Abeid na Mtangazaji Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu wakiwa katika pozi. Kwa mbwembwe na mapozi...

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI AKERWA NA UCHAFU WA ANTI LULU

Na Mwandishi Wetu
HILI nalo neno! Yapo madai kwamba, Mchungaji Christopher ambaye ni msaidizi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God ‘TAG’, Kinondoni jijini Dar amekuwa akikerwa na tabia chafu anazozisikia za msanii Lulu Mathias Semagongo ‘Antu Lulu’. Msanii wa filamu Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Antu Lulu’ akiwa Global TV Online. Utashangaa sana kwamba, hayo yalisemwa na Anti Lulu...

 

10 years ago

GPL

PATI YA ANTI LULU MASHOGA KIBAO!

Stori: Gladness Mallya na Mayasa Mariwata
Makubwa! Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ ameangusha bonge la pati huku ikihudhuriwa na mashoga kibao. Wanaume 'tata' wakilishana keki katika sherehe ya bethidei. Pati hiyo ya kufuru ambayo ilikuwa ni ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya kijana wa mjini aliyetajwa kwa jina moja la Abdul iliyoandaliwa na Anti Lulu ilifanyika katika Hoteli ya KB...

 

10 years ago

Bongo Movies

Anti Lulu Awatishia Wake za Watu

Staa wa Bongo Movies na mtangazaji mwenye vituko vingi na kujiachia kwa sana amekuja na mpya nyingine ya kuwakanya wanaomtukana katika mitandao ya kijamii kila anapoweka picha zake. Anti Lulu amesema asilimia kubwa ya watu wanamtukana anapoweka picha zinamuonesha maumbile yake wanawake.

"Asilimia kubwa ya wanawake ndio wanaongoza kuniyukana nikiweka picha zangu za Mungu alivoniumba ..mapaja yangu,hips zangu ma**ko yangu...sasa sijui kwanini mwatukana nyie wanawake angalieni nisiwabebee...

 

10 years ago

GPL

ANTI LULU: NATAKA KUZAA NA DIAMOND

Stori: Waandishi Wetu
MOYO unahifadhi mengi! Msichana wa mjini asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ amefunguka kwamba yupo tayari kuzaa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwani amepata taarifa kwamba anasaka mtoto lakini wanawake anaokuwa nao hawataki kumzalia, Ijumaa Wikienda linakupasha. Msichana wa mjini asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani