Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUNTY LULU: NITAFANYA DHAMBI ZOTE SI USAGAJI

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa yupo tayari kutenda dhambi zote lakini si ya usagaji. MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akistorisha na Bongowood hivi karibuni, Aunty Lulu alisema usagaji umekithiri kwa mastaa wa kike Bongo na ameshuhudia baadhi yao (hakuwataja majina) wakiwadekea wanawake wenzao ‘kimalovee’....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AUNTY LULU AMWANGUKIA MAMA’KE KWA USAGAJI

Stori: Imelda Mtema
SORY! Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa skendo ya kujihusisha ya vitendo vya kisagaji inayomuandama imemsababishia msala mkubwa kwa mama yake na kuamua kumuomba radhi. Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ akiwa ndani ya ofisi za Global. Akizungumza na paparazi wetu, Aunty Lulu alisema mama yake ana ugonjwa wa presha hivyo amejirekebisha...

 

10 years ago

GPL

SMS ZA USAGAJI ZA ANTI LULU ZANASWA

Stori: Waandishi Wetu Kimenuka! Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara, Ijumaa lina kisa na mkasa.
Mama huyo, akiwa amefura, alitinga kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers...

 

10 years ago

GPL

MWEZI MTUKUFU, DHAMBI ZOTE POO!

Wakati nilikuwa mdogooo tulikuwa na taratibu za kuwekeana ‘poo’. Katika utaratibu huo ilikuwa mnawekeana makubaliano na mwenzio au wenzio mliokuwa nao kuwa kila kitu kinasimama mpaka baadaye bila kukorofishana. Kwa mfano kama mlikuwa mnacheza mchezo wa kujificha, ghafla unaitwa kwenu, basi utatoka  ulikokuwa umejificha huku unawaambia wenzio, ‘Jamani poo nimeitwa na mama’ basi unaruhusiwa kwenda...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU ACHEZEA KICHAPO

MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ hivi karibuni alijikuta akichezea kichapo kutoka kwa mpenzi wake anayejulikana kwa jina la Amani baada ya kutaka kwenda klabu usiku bila kumtaarifu. Msanii wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ akipozi. Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo walimsikia msanii huyo akipiga mayowe na walipotoka walimuona...

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU ALIA KUTENDWA

Stori:  Hamida Hassan
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa ametendwa vya kutosha na marafiki hivyo kwa sasa hahitaji tena kuwa na rafiki. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ Akipiga stori na mwandishi wetu, Aunty Lulu alisema kwa nyakati tofauti marafiki wamemponza akaachika kwenye uhusiano wa wapenzi wake,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bondi, Aunty Lulu Wapashana

Mastaa wa Bongo Movies  na watangazaji waliowahi kuwa wapenzi, Bondi Bin Suleiman na Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ hivi karibuni walipashana baada ya kila mmoja kumdhihaki mwenzake kuwa hana kazi anayofanya mjini.

Bondi alisema kitu kikubwa anachokifanya Aunty Lulu ni kubadilisha wanaume ndiyo sababu ya kushindwa kuendelea na kazi yake ya utangazaji na filamu, akiishia kudanganya kuwa yeye ni mjasiriamali.

Lakini Aunty Lulu naye alijibu tuhuma hizo akisema mwandani wake huyo wa zamani...

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU ASIMULIA ALIVYOBAKWA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan My confession! (kukiri kwangu)! Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefungua kinywa na kutoa la moyoni akisimulia tukio baya lililowahi kumkuta la jinsi alivyobakwa, Risasi Jumamosi lina ‘exclusive story’. Mwanadada mwenye taito ya utangazaji na uigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias...

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU: MAKALIO YANANITESA!

Mwandishi wetu
MWIGIZAJI Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kioja cha aina yake baada ya kuibuka na kusema kuwa makalio yake yanamtesa akidai anasumbuliwa sana na wanaume wanaovutiwa nayo faragha. Mwigizaji Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Aunty Lulu alisema wanaume wengi wamekuwa wakimiminika kutaka baada ya kusambaziana kuwa mwigizaji huyo analitumia umbo lake ndivyo...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU KIPIGO CHAMTULIZA

Na Gladness Mallya
LULU Semagongo aliye mtangazaji na msanii wa filamu Bongo, amedaiwa kupewa kipigo cha haja na mpenzi wake aliyetajwa kwa jina moja la Amani hivyo kujificha nyumbani akijiuguza majeraha aliyopata. Aunty Lulu. Habari kutoka chanzo cha kuaminika, zinasema kuwa Lulu alipewa kubwa na mpenzi wake huyo mpya kutokana na tabia zake ambazo pia hazikuelezwa. “Nakuambia haonekani sehemu yoyote siku hizi. Boyfriend...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani