Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anti Lulu Awatishia Wake za Watu

Staa wa Bongo Movies na mtangazaji mwenye vituko vingi na kujiachia kwa sana amekuja na mpya nyingine ya kuwakanya wanaomtukana katika mitandao ya kijamii kila anapoweka picha zake. Anti Lulu amesema asilimia kubwa ya watu wanamtukana anapoweka picha zinamuonesha maumbile yake wanawake.

"Asilimia kubwa ya wanawake ndio wanaongoza kuniyukana nikiweka picha zangu za Mungu alivoniumba ..mapaja yangu,hips zangu ma**ko yangu...sasa sijui kwanini mwatukana nyie wanawake angalieni nisiwabebee...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WASTARA, ANTI LULU WAPATANA

Brighton Masalu Safi sana! Mwigizaji Wastara Juma Issa Abeid na Mtangazaji Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’, wamepatana baada ya kuwepo kwa mkwaruzo kati yao kwa muda mrefu, kisa kikielezwa ni mwanaume ambaye ni mwigizaji wa Bongo Movies, Bond Bin Sinan, Ijumaa Wikienda limehusika. Mwigizaji Wastara Juma Issa Abeid na Mtangazaji Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu wakiwa katika pozi. Kwa mbwembwe na mapozi...

 

11 years ago

GPL

ANTI LULU ANASWA NA NJEMBA

MWANADADA asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ juzikati alinaswa ‘live’ akiwa kimalovee na mcheza soka wa zamani aitwaye Amani Simba. Wawili hao walibambwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini Dar wakipunga upepo na walipowaona mapaparazi wa gazeti hili walishituka na kutaka kujificha. Akizungumzia uhusiano wake na Amani, Anti Lulu alisema: ”Jamani acheni udaku wenu, siku...

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI AKERWA NA UCHAFU WA ANTI LULU

Na Mwandishi Wetu
HILI nalo neno! Yapo madai kwamba, Mchungaji Christopher ambaye ni msaidizi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God ‘TAG’, Kinondoni jijini Dar amekuwa akikerwa na tabia chafu anazozisikia za msanii Lulu Mathias Semagongo ‘Antu Lulu’. Msanii wa filamu Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Antu Lulu’ akiwa Global TV Online. Utashangaa sana kwamba, hayo yalisemwa na Anti Lulu...

 

10 years ago

GPL

SMS ZA USAGAJI ZA ANTI LULU ZANASWA

Stori: Waandishi Wetu Kimenuka! Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara, Ijumaa lina kisa na mkasa.
Mama huyo, akiwa amefura, alitinga kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers...

 

10 years ago

GPL

ANTI LULU: NATAKA KUZAA NA DIAMOND

Stori: Waandishi Wetu
MOYO unahifadhi mengi! Msichana wa mjini asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ amefunguka kwamba yupo tayari kuzaa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kwani amepata taarifa kwamba anasaka mtoto lakini wanawake anaokuwa nao hawataki kumzalia, Ijumaa Wikienda linakupasha. Msichana wa mjini asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Mathias Semagongo...

 

10 years ago

GPL

PATI YA ANTI LULU MASHOGA KIBAO!

Stori: Gladness Mallya na Mayasa Mariwata
Makubwa! Mwanadada asiyeishiwa matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ ameangusha bonge la pati huku ikihudhuriwa na mashoga kibao. Wanaume 'tata' wakilishana keki katika sherehe ya bethidei. Pati hiyo ya kufuru ambayo ilikuwa ni ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya kijana wa mjini aliyetajwa kwa jina moja la Abdul iliyoandaliwa na Anti Lulu ilifanyika katika Hoteli ya KB...

 

10 years ago

GPL

SIRI PENZI LA ANTI LULU, BONDI YAFICHUKA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
SIRI imefichuka juu ya wasanii wawili waliokuwa wapenzi wa muda mrefu na kumwagana, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ na Bondi Sinan kwamba walipeana kiapo kizito, Ijumaa limetonywa. Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’. Chanzo makini kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, katika mapenzi yao waliapizana kwamba hakuna ruhusa kwa mmoja wao...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAMWITA LULU MICHAEL UMRI WAKE NA UREMBO WAKE NI SHIIIIIDA


Inasemekana ndio kwanza atatimiza miaka 20 soon lakini ukimwangalia kwenye picha uzuri wake na urembo ni shida kwa umri wake je unafikiri ingekuwa vizuri kuwa mke au andelee tu kuwa pambo na watu wazidi kutokwa na udenda kuliwinda penzi lake?. Huyo ndiyo Lulu Michael aliemzawadia mama yake nyumba kama zawaidi ya birthday hakika ni mrembo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaja awatishia Okwi, Kiiza

UJIO wa Mbrazil mwingine Geilson Santos Santana ‘Jaja’ katika kikosi cha timu ya Yanga, umewaweka katika mstari wa hatari Emmanuel Okwi na Hamis Kiiza, nyota wa kimataifa wa Uganda. Hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani