Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZUSHAJI SMS NYINGINE YA MWAMUNYANGE KIZIMBANI

Na Mwene Said wa blogu ya jamii, Dar es Salaam.George Aloyce Kimaryo amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kusambaza taarifa zauongo kupitia katika kundi la Adios la mtandao wa WhatsApp  kuwa Mwanafunzi  wa Chuo cha DIT,  Benedict Angello  Ngonyani amejitokeza  kwa mara ya pili mahakamani na kuishangaza kwa kumtaka Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange ajitokeze na kukanusha kuwa amelishwa sumu.
Wakili wa Serikali  Jaquline Nyantori...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Mwamunyange, Mwema wajiuzulu’

Mkuu wa Majeshi Nchini, Davis Mwamunyange na Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema nao wametakiwa kujiuzulu kutokana na uozo uliobainika katika ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili, iliyosababisha Rais Jakaya Kikwete kutengua uteuzi wa mawaziri wake wanne.

 

11 years ago

BBC

My SMS relationship with al-Shabab

Getting text messages in bed - from al-Shabab

 

10 years ago

Habarileo

Mwamunyange: Rais Kikwete ni shupavu

Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) akikagua moja ya mabweni matano mapya ya kikosi cha JKT Mafinga jana. (Picha na Frank Leonard).MKUU wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange amemsifu Rais Jakaya Kikwete akisema ni shupavu, huku akiwataka vijana waogope kupotoshwa kimawazo na kifikra ili wawe wazalendo.

 

10 years ago

Habarileo

Sms wakati wa uchaguzi kuchujwa

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaKATIKA kuhakikisha uchochezi unaoweza kuvuruga amani ya nchi unadhibitiwa wakati wa uchaguzi, Serikali imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuja na mwongozo wa kampuni za simu katika kudhibiti ujumbe mfupi kwa njia ya simu.

 

11 years ago

Mwananchi

Jenerali Mwamunyange awafunda wakufunzi

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Devis Mwamunyange amesema katika kuendeleza juhudi za Serikali juu ya kuboresha mafunzo ya JKT nchini, wakufunzi wa mafunzo hayo wanapaswa kufuata maadili ya taaluma yao katika utekelezaji wa majukumu waliyokabidhiwa na jeshi hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vifaa vinavyoendeshwa kwa SMS

Vifaa mbalimbali vya jikoni vyenye uwezo wa kuendeshwa kwa ujumbe mfupi wa simu vimeendelea kuuzwa Korea Kusini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kortini kwa kumzushia Mwamunyange

Sheria ya Mtandao imeanza kufanya kazi baada ya mwanafunzi wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Benedict Angello Ngonyani kupandishwa kizimbani akikabiliwa na shtaka la matumizi mabaya ya mtandao kwa kusambaza taarifa za uongo kupitia WhatsApp na Facebook kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini, Jenerali Davis Mwamunyange amelishwa sumu.

 

10 years ago

Michuzi

NBC LAUNCHES SMS ALERT


PRESS RELEASENATIONAL BANK OF COMMERCE NBC LAUNCHES SMS ALERT
Dar es Salaam, 8thSeptember 2015NBC has today launched SMS alert service that enables NBC customers to receive instant SMS notifications on their registered mobile phone numbers of transactions carried out on their accounts. The SMS notifications enable NBC customers to instantly keep track of transactions happening on their accounts. 
“In addition, this service will allow our customers to identify if their accounts have carried...

 

10 years ago

Habarileo

Mwamunyange: Tutaimarisha ulinzi wa mipaka

Mkuu wa Majeshi nchini, Davis Mwamunyange.MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange amewatoa wasiwasi Watanzania na kusema kuwa jeshi liko macho katika kulinda mipaka yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani