Mwamunyange: Rais Kikwete ni shupavu
MKUU wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange amemsifu Rais Jakaya Kikwete akisema ni shupavu, huku akiwataka vijana waogope kupotoshwa kimawazo na kifikra ili wawe wazalendo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete
WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
BBCSwahili30 Nov
Wasichana shupavu washinda wanaume
10 years ago
Habarileo28 Apr
Askari shupavu wa kike atunukiwa nishani
RAIS Jakaya Kikwete ametunuku watu 42 nishani akiwamo askari wa kike, Koplo Laura Mushi (32) kwa ushupavu alioonesha baada ya kupambana na kujiokoa dhidi ya majambazi waliomvamia hivi karibuni katika kituo cha ulinzi Mikumi, Morogoro.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wako wapi wanawake shupavu wa TANU?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HJGcOwaHYSc/XswRF87VdoI/AAAAAAALrfU/e54MWPIS90AX6KJT9z-o-q765zMf_GrIwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200524085347_1153918174_5704606628706549347_375_282_80_webp.jpg)
CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...
10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-MA1_ZFohI7c/VJgW4lraY4I/AAAAAAAAZho/geWMTtNN3d0/s640/D92A4124.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEfe-eW_P48/U_G8E8LO3SI/AAAAAAACnmE/9JtU4Jjc6N8/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Whmxln6S1Zo/XomRB-yYDYI/AAAAAAALmDA/MnQMXNbzxb0nvdVCQ2nksZMRqszMXMy6ACLcBGAsYHQ/s72-c/32944855-519c-4acd-a77d-b9b2637b6bb0.jpg)
MAMA TABITHA SIWALE: MWANAMKE SHUPAVU NA WA KWANZA KUWA WAZIRI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Whmxln6S1Zo/XomRB-yYDYI/AAAAAAALmDA/MnQMXNbzxb0nvdVCQ2nksZMRqszMXMy6ACLcBGAsYHQ/s400/32944855-519c-4acd-a77d-b9b2637b6bb0.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli:
Katika miaka ya karibuni, kwenye "social media" kumetamalaki picha na habari za utani dhidi ya Wanyakyusa@ "WANYAKI" zikionesha kwamba Wanyakyusa ni watu ambao hawajaenda shule na ni washamba kupindukia!.
Hata hivyo, ukweli ni kwamba mikoa ya Mbeya, Kilimanjaro na Bukoba ndiyo iliyokuwa ikitoa wasomi wengi na wa hali ya juu toka enzi za ukoloni na baada ya uhuru.
Haishangazi basi, tarehe 9.11.1975, mkoa wa Mbeya ulitoa mwanamke wa kwanza na kuweka historia...