Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mlemavu mwenye ndoto ya kusimama kwa ‘miguu yake’










**************************

NA MWANDISHI WETU

KILA binaadam katika dunia hii ana matatizo yake ya kimaisha, hali ambayo inasababisha kila mmoja kusaka namna ya kufikia malengo kupitia kwa wadau mbalimbali ambao ndio kimbilio la ufanikishwaji huo.

Kwa mazingira ya sasa, wadau wanaweza kutoa msaada kwa jamii ama mdau mmoja mmoja kwa mujibu wa hitaji la mhusika.

Boniface Mokami (25), mlemavu wa miguu ambaye ni mmoja wa mfano wa wadau wenye uhitaji wa kuwezeshwa kwa usafiri aweze kushiriki...

 

11 years ago

Bongo5

Ndoto 10 zinazootwa zaidi usiku na maana zake

Ndoto ni jambo au hisia ya kawaida inayompata mtu alalapo usiku. Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror la Uingereza, hizi ni ndoto 10 zinazootwa zaidi na maana yake. 1. Kuota umeshikwa/umepotea: Ndoto hii hutokea pale unapokumbuna na ugumu katika kuchukua uamuzi kutokana na jambo lililo mbele yako. 2.Kuota mwili umekosa nguvu/kama umepooza: Katika ndoto […]

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Lowassa, mwanzo au mwisho wa ndoto zake?

>Jioni ya Januari 25, 1965 wakati Waingereza walipomzika Waziri Mkuu wao maarufu wa zamani, Winston Churchill katika makaburi ya St Martin’s Church, Bladon eneo la Oxford ilimaanisha kuwa Waingereza walikuwa wanamzika mmoja wa wanasiasa wazuri waliowahi kutoa tafsiri nzuri ya neno siasa.

 

10 years ago

Michuzi

Beta Zebron awezeshwa kukamilisha ndoto zake kupitia Airtel Fursa "Tunakuwezesha"

Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao.

 

10 years ago

GPL

BETA ZEBRON AWEZESHWA KUKAMILISHA NDOTO ZAKE KUPITIA AIRTEL FURSA "TUNAKUWEZESHA"

Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao.  Bofya hapa: goo.gl/ECdVkc ukamate fursa na Airtel

 

9 years ago

Bongo5

Jamie Vardy na kocha wake Claudio Ranieri watwaa tuzo ya EPL

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy pamoaja na Manager wa Leicester City Claudio Ranieri wameshinda tuzo ya kocha bora na mchezaji bora wa mwezi November kwenye ligi ya England (EPL) baada ya kukiongoza kikosi chao kukaa kileleni mwa ligi hiyo.

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Vardy baada ya kufunga magoli matatu katika mechi za mwezi Novemba ikiwemo kuvunja rekodi ya magoli wakati kikosi chake kilipotoka sare ya 1-1 na Manchester United.

Vardy-1

Goli lake katika dakika ya 24 dhidi ya Mashetani Wekundu lilimfanya avunje rekodi...

 

9 years ago

GPL

NEC; ALIYETIMIZA MASHARTI ASIZUIWE KUPIGA KURA

Mungu ni mwema, ndivyo ninavyoanza kusema katika makala haya, tumshukuru kwa amani tuliyonayo nchini hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu. Nchi nzima ipo katika mchakato wa kuwapata viongozi kwa njia ya kura kwa nafasi mbalimbali za kisiasa kupitia vyama vyao vya siasa, wakati hayo yakiendelea kumekuwepo na taarifa za mchakato huo kufanyika katika hali ya amani na utulivu katika maeneo mengi nchini, isipokuwa...

 

9 years ago

Bongo5

Tazama alichokiandika Lady Jaydee kwa mama yake aliyetimiza miaka 70

Katika dunia ya sasa mtu akifikisha umri wa miaka 70, anakuwa mtu mwenye bahati sana. Mama yake na Lady Jaydee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa weekend iliyomalizika na mwanae amesherehekea naye. Keki aliyoandaliwa mama yake na Lady Jaydee. Sherehe ya kumpongeza ilifanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam Kwenye ujumbe alioandika kumpongeza mama yake, Jide […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani