Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamie Vardy na kocha wake Claudio Ranieri watwaa tuzo ya EPL

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy pamoaja na Manager wa Leicester City Claudio Ranieri wameshinda tuzo ya kocha bora na mchezaji bora wa mwezi November kwenye ligi ya England (EPL) baada ya kukiongoza kikosi chao kukaa kileleni mwa ligi hiyo.

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Vardy baada ya kufunga magoli matatu katika mechi za mwezi Novemba ikiwemo kuvunja rekodi ya magoli wakati kikosi chake kilipotoka sare ya 1-1 na Manchester United.

Vardy-1

Goli lake katika dakika ya 24 dhidi ya Mashetani Wekundu lilimfanya avunje rekodi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Vardy and Mahrez priceless - Ranieri

Leicester boss Claudio Ranieri says Jamie Vardy and Riyad Mahrez are not for sale after they inspired a win over Chelsea.

 

5 years ago

Mirror Online

Jamie Vardy explains what Pepe Reina told him before penalty vs Aston Villa

Jamie Vardy explains what Pepe Reina told him before penalty vs Aston Villa  Mirror OnlineAston Villa unleash Samatta on Ndidi and Iheanacho’s Leicester City  Goal.comLeicester City 4-0 Aston Villa: Report, Player Ratings & Reaction as Foxes Thump Sorry Villans  90minBen Chilwell’s Leicester City excuse not really accurate  Foxes of LeicesterLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jamie Vardy afikia rekodi ya Ruud Van Nistelrooy lakini kamzidi hapa!

jamie-vardyJamie Vardy

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy (pichani) amefanikiwa kufikia rekodi ya staa wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelrooy kwa kufunga goli 10 kwa michezo 10 mfululizo.

Vardy amefikia rekodi hiyo aliyoiweka Van Nistelrooy aliyoiweka mwaka 2003 kwa kufunga michezo 10 mfululizo rekodi ambayo Vardy ameifikia wakati timu yake ya Leicester City ilipokuwa ikipambana na Newcastle United na kuibuka na ushindi wa goli 3 kwa bila.

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win  FOX Sports AsiaLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comAston Villa v. Leicester City | PREMIER LEAGUE HIGHLIGHTS | 3/9/2020 | NBC Sports  NBC SportsLeicester City 3-0 Aston Villa live - Jamie Vardy brace and Harvey Barnes strike have Foxes in control  Leicestershire LiveWill Samatta be successful against Leicester City the second time around?  goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Evening Standard

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero  Evening StandardView Full coverage on Google News

 

10 years ago

GPL

MOURINHO, HAZARD WATWAA TUZO ENGLAND

Jose Mourinho. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho ametwaa tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya England kwa msimu huu wa 2014/2015 huku mchezaji wake Eden Hazard akitwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu. Eden Hazard. Hazard amechukua tuzo hiyo baada ya kuisaidia timu yake kutwaa taji la Ligi Kuu ya England huku akiifungia mabao 14. Hazard alikuwa akiwania tuzo hiyo pamoja na wachezaji wengine saba ambao ni: John Terry, Cesc Fabregas,...

 

10 years ago

Habarileo

Waandishi Pwani watwaa tuzo ya usalama barabarani

CHAMA cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Pwani (CRPC), kimepewa tuzo na Kamati ya Usalama Barabarani kwa kutoa mchango wake wa kupunguza ajali kwenye mkoa huo.

 

9 years ago

Bongo5

Pellegrini na Andre Ayew watwaa tuzo ya mwezi ligi kuu ya Uingereza

Ligi Kuu ya Uingereza imemtangaza kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini kocha bora wa mwezi Ligi Kuu baada ya timu yake Manchester City kuanza vizuri msimu mwezi Agosti ambapo wameshinda mechi zote nne mfululizo. Kocha wa Man City Manuel Pellegrini Tuzo hiyo hutolewa pia kwa mchezaji bora wa mwezi na imeenda kwa Mghana Andre Ayew, […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Vaan atwaa tuzo ya kocha bora- holland

Louis van Gaal ameteuliwa kuwa kocha bora wa mwaka baada ya kufika nusu fainali ya michuano ya kombe la dunia nchi Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani