Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamie Vardy afikia rekodi ya Ruud Van Nistelrooy lakini kamzidi hapa!

jamie-vardyJamie Vardy

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy (pichani) amefanikiwa kufikia rekodi ya staa wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelrooy kwa kufunga goli 10 kwa michezo 10 mfululizo.

Vardy amefikia rekodi hiyo aliyoiweka Van Nistelrooy aliyoiweka mwaka 2003 kwa kufunga michezo 10 mfululizo rekodi ambayo Vardy ameifikia wakati timu yake ya Leicester City ilipokuwa ikipambana na Newcastle United na kuibuka na ushindi wa goli 3 kwa bila.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Vardy ampita Van Nistelrooy, kabakiza mmoja kuwa mfungaji wa muda wote mfululizo

jamie-vardy-leicester-city_3382622

Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

” It’s Unbelievable” ndiyo kauli aliyoitoa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya Leicester City na Manchester United katika uwanja wa nyumbani wa Leicester, King Power

Katika mchezo huo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1 kwa 1, Vardy aliifungia timu yake goli 1 na yeye kujiandikia rekodi yake mpya ya kufunga goli 11 katika michezo 11 mfulizo akimpita gwiji wa zamani wa...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal ….

Kila mpenda soka anasubiria kuona mwaka 2015 utamalizikaje kwa kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal kuendelea kuwa Man United, Kwani Van Gaal kwa sasa anahusishwa kufukuzwa kazi wakati wowote. Mengi yanachochea uvumi huo kuwa upo karibu kutimia, ukizingatia mtendaji mkuu wa Man United yupo kimya kwa muda mrefu bila kutoa kauli yoyote. Wazungu […]

The post Hii ndio rekodi ya Man United iliyodumu kwa miaka 54, lakini imevunjwa chini ya Louis van Gaal …. appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Jamie Vardy na kocha wake Claudio Ranieri watwaa tuzo ya EPL

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy pamoaja na Manager wa Leicester City Claudio Ranieri wameshinda tuzo ya kocha bora na mchezaji bora wa mwezi November kwenye ligi ya England (EPL) baada ya kukiongoza kikosi chao kukaa kileleni mwa ligi hiyo.

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Vardy baada ya kufunga magoli matatu katika mechi za mwezi Novemba ikiwemo kuvunja rekodi ya magoli wakati kikosi chake kilipotoka sare ya 1-1 na Manchester United.

Vardy-1

Goli lake katika dakika ya 24 dhidi ya Mashetani Wekundu lilimfanya avunje rekodi...

 

5 years ago

Mirror Online

Jamie Vardy explains what Pepe Reina told him before penalty vs Aston Villa

Jamie Vardy explains what Pepe Reina told him before penalty vs Aston Villa  Mirror OnlineAston Villa unleash Samatta on Ndidi and Iheanacho’s Leicester City  Goal.comLeicester City 4-0 Aston Villa: Report, Player Ratings & Reaction as Foxes Thump Sorry Villans  90minBen Chilwell’s Leicester City excuse not really accurate  Foxes of LeicesterLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win  FOX Sports AsiaLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comAston Villa v. Leicester City | PREMIER LEAGUE HIGHLIGHTS | 3/9/2020 | NBC Sports  NBC SportsLeicester City 3-0 Aston Villa live - Jamie Vardy brace and Harvey Barnes strike have Foxes in control  Leicestershire LiveWill Samatta be successful against Leicester City the second time around?  goal.comView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

MESSI AFIKIA REKODI YA MAGOLI YA KUFUNGA KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE


Mshambuliaji kutoka nchini Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Andrés "Leo" Messi Cuccittini amekuwa wa kwanza kuifikia rekodi ya ufungaji mabao mengi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, iliyokuwa inashikiliwa na aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid pamoja na Schalke 04 ya nchini Ujerumani Raúl González Blanco.
Messi ameifikia rekodi hiyo usiku wa kuamkia hii leo baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili katika mchezo wa mzunguuko wa nne wa michuano ya ligi ya...

 

5 years ago

Evening Standard

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero

Premier League top scorers 2019/2020: Pierre-Emerick Aubameyang closes gap on Jamie Vardy and Sergio Aguero  Evening StandardView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

TSN YAILETA REAL MADRID TANZANIA, FIGO, VAN NISTELROOY, OWEN KUKIPIGA NA STARS

Msemaji wa TSN (T) LTD, Denis Sebo akizungumza kwenye mkutano wa makubaliano hayo. Nahodha wa kikosi cha Real Madrid kitakachokuja hapa nchini, Ruben de la Red akithibitisha ujio huo.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Barcelona yavunja rekodi ya Real Madrid, ipo hapa

2341052_heroa

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Barcelona ya nchini Hispania imefanikiwa kuvunja rekodi iliyowekwa na wapinzani wao wakubwa Real Madrid ambayo waliiweka mwaka 2014.

Real Madrid mwaka jana ilifanikiwa kufunga magoli 178 ambayo yalikuwa hayajawahi kufungwa na klabu yoyote katika historia ya klabu ya Hispania.

Awali kabla ya mchezo kati ya Barcelona na Real Betis, Barcelona ilikuwa na magoli 176 na baada ya kuibuka na ushindi wa goli nne kwa bila dhidi ya Real Betis sasa Barcelona ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani