Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vardy ampita Van Nistelrooy, kabakiza mmoja kuwa mfungaji wa muda wote mfululizo

jamie-vardy-leicester-city_3382622

Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

” It’s Unbelievable” ndiyo kauli aliyoitoa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya Leicester City na Manchester United katika uwanja wa nyumbani wa Leicester, King Power

Katika mchezo huo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1 kwa 1, Vardy aliifungia timu yake goli 1 na yeye kujiandikia rekodi yake mpya ya kufunga goli 11 katika michezo 11 mfulizo akimpita gwiji wa zamani wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Jamie Vardy afikia rekodi ya Ruud Van Nistelrooy lakini kamzidi hapa!

jamie-vardyJamie Vardy

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy (pichani) amefanikiwa kufikia rekodi ya staa wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelrooy kwa kufunga goli 10 kwa michezo 10 mfululizo.

Vardy amefikia rekodi hiyo aliyoiweka Van Nistelrooy aliyoiweka mwaka 2003 kwa kufunga michezo 10 mfululizo rekodi ambayo Vardy ameifikia wakati timu yake ya Leicester City ilipokuwa ikipambana na Newcastle United na kuibuka na ushindi wa goli 3 kwa bila.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kukusaidia kuwa na furaha muda wote

Ni vyema ukifahamu kwamba baadhi ya vitu unavyovitegemea vinaweza visikupe furaha unayoitamani, yamkini mumeo au mkeo asikupe furaha, yamkini fedha na mali ulizonazo zisikupe furaha ya kweli. Jaribu kubeba jukumu la kujihakikishia una furaha pasipo kutegemea mazingira ya vitu au watu wanaokuzunguka. Chukua jukumu la la kuzalisha, kuitunza na kuiendeleza ile furaha na amani inayoishi ndani yako.

 

11 years ago

GPL

TSN YAILETA REAL MADRID TANZANIA, FIGO, VAN NISTELROOY, OWEN KUKIPIGA NA STARS

Msemaji wa TSN (T) LTD, Denis Sebo akizungumza kwenye mkutano wa makubaliano hayo. Nahodha wa kikosi cha Real Madrid kitakachokuja hapa nchini, Ruben de la Red akithibitisha ujio huo.…

 

9 years ago

Bongo5

Thierry Henry amtaja Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora wa muda wote katika ligi kuu England

Mchezaji soka na gwiji wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa, Thierry Henry amewafanya watu kubaki na mshangao kwa kumtaja kiungo wa zamani wa England na Manchester United, Paul Scholes kuwa ndiye mchezaji bora aliyewahi kukutana naye katika historia ya Premier League. Henry alijibu swali hilo katika interview moja na Sky Sport, […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Moyes : Van gaal apewe muda

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes ameitaka klabu hiyo kumpa muda kocha wa sasa wa kikosi hicho Louis van Gaal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:tuna mlinzi wa kati mmoja tu

Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu

 

10 years ago

StarTV

Van Gaal: Tuna mlinzi wa kati mmoja tu.

Kocha wa machester United, Louis van Gaal amesema Manchester united ina mlinzi wa kati mmoja tu mwenye uzoefu wakati huu kikosi hicho kinapotarajia kukipiga na west ham katika michuano ya ligi kuu ya England.

 
Marcos Rojo yuko fiti, lakini timu hiyo ina majeruhi kama Chris Smalling ana jeraha la mguu, Phil Jones ana jeraha kwenye, Jonny Evans ana jeraha la kifundo cha mguu na Tyler Blackett hatacheza mchezo huo.

 
Van Gaal analazimika sasa kuchukua wachezaji kwenye kikosi cha vijana...

 

9 years ago

Bongo5

Timbaland awataja Tupac na Notorious B.I.G. kama rappers bora wa muda wote

Timbaland amedai kuwa Tupac na Notorious B.I.G. ndio rappers bora wa muda wote. Producer huyo mahiri alisema hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ESPN cha First Take na kuulizwa ni rappers gani wakali kuwahi kutokea kwenye muziki wa hip hop. Pamoja na kuwataja rappers hao marehemu alimpa sifa zake pia Jay Z anayemchukulia kama kaka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani