Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TSN YAILETA REAL MADRID TANZANIA, FIGO, VAN NISTELROOY, OWEN KUKIPIGA NA STARS

Msemaji wa TSN (T) LTD, Denis Sebo akizungumza kwenye mkutano wa makubaliano hayo. Nahodha wa kikosi cha Real Madrid kitakachokuja hapa nchini, Ruben de la Red akithibitisha ujio huo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

REAL MADRID WATINGA TSN BAMAGA, MWENGE DAR

Wachezaji wa wakongwe wa Real Madrid wakiwa wanatoka kwenye ofisi za TSN, Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam, muda mfupi uliopita. Wachezaji wakongwe wa Real Madrid ya Hispania wakiweka pozi kwa ajili ya picha baada ya…

 

11 years ago

GPL

Real Madrid yawaleta Dar Figo, Salgado

Mmoja wa wachezaji nyota duniani, Luis Figo. Na Saleh Ally
WATANZANIA watapata nafasi ya kumshuhudia mmoja wa wachezaji nyota duniani, Luis Figo akikipiga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya mwaka huu kuisha. Figo anatarajia kutua nchini mwishoni mwa mwaka huu kama makubaliano yatafikiwa kati ya Real Madrid na waandaaji wa ziara ya timu ya wakongwe ya Real Madrid kuja kucheza mechi ya kirafiki hapa...

 

5 years ago

Managing Madrid

Manchester United set to offer €55 million for Real Madrid target Van de Beek

Manchester United set to offer €55 million for Real Madrid target Van de Beek  Managing MadridConcern for Real Madrid as Man United plan to hijack move for Summer target  CaughtOffsideMan United target Donny van de Beek, Paul Pogba complicated switch deal  The Peoples PersonManchester United look to pip Real Madrid to Donny van de Beek's signature  Daily MailReal Madrid 'worried' over possible Man Utd transfer bid for Donny van de Beek  Mirror OnlineView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Goal India

De Gea, Neymar and the stars that got away from Real Madrid

De Gea, Neymar and the stars that got away from Real Madrid  Goal IndiaKylian Mbappe to Real Madrid transfer 'almost done' before football suspension  Mirror OnlineKylian Mbappe 'almost signed for Real Madrid' before coronavirus outbreak, according to ex-PSG star  Daily MailMbappe to Real Madrid was almost done before coronavirus crisis – Rothen  GoalKylian Mbappe to Real Madrid ‘was almost done’ before coronavirus crisis, says former PSG star Jerome Rothen  Evening StandardView Full...

 

10 years ago

TheCitizen

Stars legends ready for Real Madrid encounter

Tanzania XI assistant head coach, Jamhuri Kihwelo, is confident that his squad will outshine Real Madrid legends on Saturday at the National Stadium. Speaking yesterday, Kihwelo said his team was physically fit and ready to take on the Real legends.

 

9 years ago

Dewji Blog

Jamie Vardy afikia rekodi ya Ruud Van Nistelrooy lakini kamzidi hapa!

jamie-vardyJamie Vardy

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy (pichani) amefanikiwa kufikia rekodi ya staa wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelrooy kwa kufunga goli 10 kwa michezo 10 mfululizo.

Vardy amefikia rekodi hiyo aliyoiweka Van Nistelrooy aliyoiweka mwaka 2003 kwa kufunga michezo 10 mfululizo rekodi ambayo Vardy ameifikia wakati timu yake ya Leicester City ilipokuwa ikipambana na Newcastle United na kuibuka na ushindi wa goli 3 kwa bila.

 

9 years ago

Dewji Blog

Vardy ampita Van Nistelrooy, kabakiza mmoja kuwa mfungaji wa muda wote mfululizo

jamie-vardy-leicester-city_3382622

Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

” It’s Unbelievable” ndiyo kauli aliyoitoa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya Leicester City na Manchester United katika uwanja wa nyumbani wa Leicester, King Power

Katika mchezo huo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1 kwa 1, Vardy aliifungia timu yake goli 1 na yeye kujiandikia rekodi yake mpya ya kufunga goli 11 katika michezo 11 mfulizo akimpita gwiji wa zamani wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ng’ombe hazeeki maini’ Real Madrid v Tanzania XI leo

Winga wa zamani wa Real Madrid,  Luis Figo ametamba kwamba magwiji wa timu hiyo  watawafunika nyota wa Tanzania XI katika mchezo  baina yao utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa  Taifa,Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani