TSN YAILETA REAL MADRID TANZANIA, FIGO, VAN NISTELROOY, OWEN KUKIPIGA NA STARS
![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39e-GiAhpVTdNSfOFi1Hn0vKZzVebBPpqo5Vs2stcXrGJPDALBeH0UkaNqJw5oyfBEKBSkwwBvgIm5BmGf9ixauP/TSNNAREALMADRID1.jpg?width=650)
Msemaji wa TSN (T) LTD, Denis Sebo akizungumza kwenye mkutano wa makubaliano hayo. Nahodha wa kikosi cha Real Madrid kitakachokuja hapa nchini, Ruben de la Red akithibitisha ujio huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL12 May
10 years ago
GPLREAL MADRID WATINGA TSN BAMAGA, MWENGE DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcI0fhUjFsTT29gEwCPc0M*xX0XYdbbrXpQYoN9PcejEn9QQd5xdTlw64IIQuLEq6ZLNw64HBhvGHk*P7xuv4u85/real.jpg?width=650)
Real Madrid yawaleta Dar Figo, Salgado
5 years ago
Managing Madrid16 Mar
Manchester United set to offer €55 million for Real Madrid target Van de Beek
5 years ago
Goal India12 Apr
De Gea, Neymar and the stars that got away from Real Madrid
10 years ago
TheCitizen21 Aug
Stars legends ready for Real Madrid encounter
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Jamie Vardy afikia rekodi ya Ruud Van Nistelrooy lakini kamzidi hapa!
Jamie Vardy
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy (pichani) amefanikiwa kufikia rekodi ya staa wa zamani wa Manchester United, Ruud Van Nistelrooy kwa kufunga goli 10 kwa michezo 10 mfululizo.
Vardy amefikia rekodi hiyo aliyoiweka Van Nistelrooy aliyoiweka mwaka 2003 kwa kufunga michezo 10 mfululizo rekodi ambayo Vardy ameifikia wakati timu yake ya Leicester City ilipokuwa ikipambana na Newcastle United na kuibuka na ushindi wa goli 3 kwa bila.
9 years ago
Dewji Blog29 Nov
Vardy ampita Van Nistelrooy, kabakiza mmoja kuwa mfungaji wa muda wote mfululizo
Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
” It’s Unbelievable” ndiyo kauli aliyoitoa mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy baada ya kumalizika kwa mchezo kati ya Leicester City na Manchester United katika uwanja wa nyumbani wa Leicester, King Power
Katika mchezo huo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1 kwa 1, Vardy aliifungia timu yake goli 1 na yeye kujiandikia rekodi yake mpya ya kufunga goli 11 katika michezo 11 mfulizo akimpita gwiji wa zamani wa...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
‘Ng’ombe hazeeki maini’ Real Madrid v Tanzania XI leo