Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ng’ombe hazeeki maini’ Real Madrid v Tanzania XI leo

Winga wa zamani wa Real Madrid,  Luis Figo ametamba kwamba magwiji wa timu hiyo  watawafunika nyota wa Tanzania XI katika mchezo  baina yao utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa  Taifa,Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAGWIJI WA REAL MADRID WAIFUMUA TANZANIA ELEVEN MABAO 3-1 UWANJA WA TAIFA LEO


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Reuben de La Red amefunga mabao matatu peke yake, magwiji wa Real Madrid wakiiangusha Tanzania Eleven 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
De la Red alimfunga bao moja Mwameja Mohamed kipindi cha kwanza na kipindi cha pil akamtungua mara mbili Manyika Peter, wakati bao pekee la Stars, Real walijifunga wenyewe kupitia kwa Roberto Rojas.
Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimkabidhi mpira De La Red baada ya mechi kabla ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ( mwenye kofia ) akifuatilia mazoezi ya wachezaji wake kabla ya kurudiana na Atletico Madrid leo usiku.Wachezaji wa Real Madrid ( kutoka kushoto kwenda kulia ) Daniel Carvajal, Marcelo Vieira na Sami Khedira wakijifua tayari kuwakabili wapinzani wao Atletico Madrid leo usiku.
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone. 
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...

 

9 years ago

GPL

KOFFI OLOMIDE, NG’OMBE ASIYEZEEKA MAINI

Mwanamuziki, Koffi Olomide. Andrew Carlos MWAKA 1950, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) alitokea msanii wa muziki wa Soukous (Lingala/Rumba ya Kongo), Verkys Kiamuangana Mateta ambaye aliitetemesha Kongo akiwa na Bendi ta TPOK Jazz. Verkys hakudumu sana kwenye Bendi ya TPOK Jazz kwani alitamani kuwa na bendi yake mwenyewe ambapo mwaka 1960 alifanikiwa kumiliki bendi ya Orchestre Vévé na haikuishia hapo, miaka kumi...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA ELEVEN HOI KWA WAKONGWE WA REAL MADRID

Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akiwatoka wachezaji wa Tanzania Eleven wakati wa mechi hiyo. Mfungaji wa mabao matatu ya Wakongwe wa Real Madrid, Ruben de la Red akimiliki mpira…

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID


De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
De Gea (left) was a team-mate of Tomas Ujfalusi (back...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani