Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA ELEVEN HOI KWA WAKONGWE WA REAL MADRID

Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Luis Figo akiwatoka wachezaji wa Tanzania Eleven wakati wa mechi hiyo. Mfungaji wa mabao matatu ya Wakongwe wa Real Madrid, Ruben de la Red akimiliki mpira…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAGWIJI WA REAL MADRID WAIFUMUA TANZANIA ELEVEN MABAO 3-1 UWANJA WA TAIFA LEO


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Reuben de La Red amefunga mabao matatu peke yake, magwiji wa Real Madrid wakiiangusha Tanzania Eleven 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
De la Red alimfunga bao moja Mwameja Mohamed kipindi cha kwanza na kipindi cha pil akamtungua mara mbili Manyika Peter, wakati bao pekee la Stars, Real walijifunga wenyewe kupitia kwa Roberto Rojas.
Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimkabidhi mpira De La Red baada ya mechi kabla ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAKONGWE WA REAL MADRID WAKWEA MLIMA KILIMANJARO

Wachezaji wakongwe wa Klabu ya Real Madrid wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa TANAPA mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima Kilimanjaro. Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dk. Fenela Mukangara akitoa cheti cha ushiriki kwa mchezaji Ruben De La Red wa Klabu ya Real Madrid mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima Kilimanjaro. Wakongwe wa Real Madrid wakiwa katikati ya msitu wa Mlima Kilimanjaro.
 Eneo la...

 

10 years ago

GPL

Nyota Tanzania Eleven waapa kuichakaza Madrid

Kipa wa zamani wa Simba Mohamed Mwameja. Na Waandishi Wetu
WACHEZAJI wa kikosi cha Tanzania Eleven, wameapa kuifunga Real Madrid katika mchezo mkali wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa leo Jumamosi. Wakizungumza na Championi Jumamosi, wachezaji hao walisema wamejiandaa vya kutosha kuhakikisha wanaifunga Madrid na kuipa heshima Tanzania na wameomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia mtanange huo mkubwa....

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAITAKIA HERI TANZANIA ELEVEN DHIDI YA MADRID

Kikosi cha wachezaji 33 kilichotangazwa na Kocha Charles Boniface Mkwassa kuunda timu ya TSN Tanzania Eleven kimetakiwa kucheza kwa kujituma ili kulinda heshima kwa Tanzania katika mchezo wao dhidi ya nyota wa zamani wa timu ya Real Madrid. Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim ambao ni wadhamini wa mechi hiyo muda mfupi baada ya kutajwa kwa kikosi hicho ambacho kinatarajiwa kujikusanya mapema wiki...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ng’ombe hazeeki maini’ Real Madrid v Tanzania XI leo

Winga wa zamani wa Real Madrid,  Luis Figo ametamba kwamba magwiji wa timu hiyo  watawafunika nyota wa Tanzania XI katika mchezo  baina yao utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa  Taifa,Dar es Salaam.

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani