MAGWIJI WA REAL MADRID WAIFUMUA TANZANIA ELEVEN MABAO 3-1 UWANJA WA TAIFA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-CK8HNUcVQ8E/U_jAWs8eDZI/AAAAAAABKCo/4iR14woat80/s72-c/3.jpg)
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Reuben de La Red amefunga mabao matatu peke yake, magwiji wa Real Madrid wakiiangusha Tanzania Eleven 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
De la Red alimfunga bao moja Mwameja Mohamed kipindi cha kwanza na kipindi cha pil akamtungua mara mbili Manyika Peter, wakati bao pekee la Stars, Real walijifunga wenyewe kupitia kwa Roberto Rojas.
Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimkabidhi mpira De La Red baada ya mechi kabla ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTANZANIA ELEVEN HOI KWA WAKONGWE WA REAL MADRID
10 years ago
MichuziMACHAVA FC KUTUMIA UZI MPYA TOKA MEGATRADE KATIKA MECHI YAO DHIDI YA PANONE FC ITAKAYOSHUHUDIWA NA MAGWIJI WA REAL MADRID UWANJA WA USHIRIKA MOSHI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIa7Wk*xcdvrx592bgK0AaEe2pqoxLR2khARSyO3HWDnlnfauMzDw05iwRiW3818l2q1N4PSgIk7ol1hIZEHXLm/2.jpg)
MPACHIKA MABAO JAMES RODRIGUEZ ATUA REAL MADRID
10 years ago
Mwananchi23 Aug
‘Ng’ombe hazeeki maini’ Real Madrid v Tanzania XI leo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*WZTP0W8kQEIhQB8ECboY5m923pwiPu8H3PUKjJBm7CRS1Gc8ojkz867qE8UB7TWPGPOQPQ-0KWj4cMHqb*gcnL/nyota.jpg)
Nyota Tanzania Eleven waapa kuichakaza Madrid
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCI1cvFw81eYmYuTPVsYnqzFpbuUQFZWDA9AgpKuqpSNS1FeLDwhUzGkJWi*3tbp0EFofj0XQVXlyex84D6zBahd/MADRID.jpg?width=650)
VODACOM YAITAKIA HERI TANZANIA ELEVEN DHIDI YA MADRID
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s72-c/A%2B1.jpg)
NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s1600/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAhM32ouThs/VTeVo6yvC8I/AAAAAAAA7R0/43qXR-ySkGg/s1600/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OKmlPzhIu6E/VTeVpfjbT8I/AAAAAAAA7SA/tbFbvj5FhsU/s1600/A%2B3.jpg)
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s72-c/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
YANGA KIDEDEA UWANJA WA TAIFA KWA KUICHAPA MABAO FC 2-0
![](https://1.bp.blogspot.com/-UvdS28BvrJo/Xl6eB7U99cI/AAAAAAAA9ZI/addKRKszaGo0n982fH8h33cix8OUgWqtACNcBGAsYHQ/s640/69011d54-2a74-4673-b91e-42ffd3f833ba.jpg)
Magoli ya Yanga yalifungwa na David Molinga dakika ya 28 kwa mkwaju wa penati na jingine likifungwa na Patrick Sibomana dakika ya 82.
FT: Yanga SC 2-0 Mbao FC.
![](https://1.bp.blogspot.com/-kk8Hhj9x57w/Xl6gwYlL7OI/AAAAAAAA9ZY/egymD4gF8RsoqL0eHgDwtYFok74lCTXxgCNcBGAsYHQ/s640/ESNDZ94XYAQnssw.jpg)