ONYESHA UZALENZO WAKO KUJA TAIFA KUONA TANZANIA ELEVEN VS REAL MADRID
![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdb-ObJwAxyYgpuUxElHsa3WxEdBchPYRXR59iMIrxm0dDdpZlbegoxyTWr4Bp8kPM5zAsitXaHAiP77pnyL2mxv/RealMadridPRPost.png?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CK8HNUcVQ8E/U_jAWs8eDZI/AAAAAAABKCo/4iR14woat80/s72-c/3.jpg)
MAGWIJI WA REAL MADRID WAIFUMUA TANZANIA ELEVEN MABAO 3-1 UWANJA WA TAIFA LEO
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Reuben de La Red amefunga mabao matatu peke yake, magwiji wa Real Madrid wakiiangusha Tanzania Eleven 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
De la Red alimfunga bao moja Mwameja Mohamed kipindi cha kwanza na kipindi cha pil akamtungua mara mbili Manyika Peter, wakati bao pekee la Stars, Real walijifunga wenyewe kupitia kwa Roberto Rojas.
Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimkabidhi mpira De La Red baada ya mechi kabla ya...
10 years ago
GPLTANZANIA ELEVEN HOI KWA WAKONGWE WA REAL MADRID
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k597Gy8eW*WZTP0W8kQEIhQB8ECboY5m923pwiPu8H3PUKjJBm7CRS1Gc8ojkz867qE8UB7TWPGPOQPQ-0KWj4cMHqb*gcnL/nyota.jpg)
Nyota Tanzania Eleven waapa kuichakaza Madrid
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCI1cvFw81eYmYuTPVsYnqzFpbuUQFZWDA9AgpKuqpSNS1FeLDwhUzGkJWi*3tbp0EFofj0XQVXlyex84D6zBahd/MADRID.jpg?width=650)
VODACOM YAITAKIA HERI TANZANIA ELEVEN DHIDI YA MADRID
10 years ago
Vijimambo18 Dec
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007144536_david_de_gea_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .
Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
‘Ng’ombe hazeeki maini’ Real Madrid v Tanzania XI leo
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...