MPACHIKA MABAO JAMES RODRIGUEZ ATUA REAL MADRID
![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIa7Wk*xcdvrx592bgK0AaEe2pqoxLR2khARSyO3HWDnlnfauMzDw05iwRiW3818l2q1N4PSgIk7ol1hIZEHXLm/2.jpg)
James Rodriguez akifanyiwa vipimo mjini Madrid kujiunga na Real Madrid. Rodriguez wakati akitoka hospitali mjini Madrid baada ya kukamilisha vipimo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo522 Jul
James Rodriguez asainishwa na Real Madrid kwa dau la £60m
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OZXnRoNNooZa*lIPh9bfQ-iMpuy5tZ*em6S21-zn-4VyUKId*O*Wg4FJtKu5JWE5*RjJhXtiydtVvB1keVlWiw/james.jpg)
BAADA YA KROOS, REAL MADRID KUMNASA RODRIGUEZ
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CK8HNUcVQ8E/U_jAWs8eDZI/AAAAAAABKCo/4iR14woat80/s72-c/3.jpg)
MAGWIJI WA REAL MADRID WAIFUMUA TANZANIA ELEVEN MABAO 3-1 UWANJA WA TAIFA LEO
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMMSHAMBULIAJI Reuben de La Red amefunga mabao matatu peke yake, magwiji wa Real Madrid wakiiangusha Tanzania Eleven 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
De la Red alimfunga bao moja Mwameja Mohamed kipindi cha kwanza na kipindi cha pil akamtungua mara mbili Manyika Peter, wakati bao pekee la Stars, Real walijifunga wenyewe kupitia kwa Roberto Rojas.
Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimkabidhi mpira De La Red baada ya mechi kabla ya...
10 years ago
GPLCHICHARITO ATUA RASMI REAL MADRID
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Toni Kroos atua Real Madrid
9 years ago
Mtanzania10 Nov
James Rodriguez: Barcelona hawatusumbui
MADRID, HISPANIA
BAADA ya Real Madrid kupokea kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Sevilla, mshambuliaji wa timu hiyo, James Rodriguez, amesema kuwa hawana wasi wasi na mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao, Barcelona.
Mchezo huo utapigwa kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu, ambapo utakuwa El Clasico ya kwanza msimu huu wapinzani hao kukutana.
Barcelona kwa sasa wanaongoza katika msimamo wa Ligi nchini Hispania baada ya juzi kushinda mabao 3-0 dhidi ya Villarreal, wakati Madrid ikiambulia...
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Naimarika zaidi Madrid: Rodriguez
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...