James Rodriguez asainishwa na Real Madrid kwa dau la £60m
Real Madrid wamekubali kumsainisha mshindi wa kiatu cha dhahabu katika kombe la dunia lililomalizika hivi karibuni nchini Brazi, James Rodriguez kutoka Monaco. Mchezaji huyo wa Colombia amesaini mkataba wa miaka sita na timu hiyo na alifanyiwa vipimo Jumanne hii. Nipo sawa Madrid imelipa dau la £60million, na kuufanya uhamisho wa Rodriguez kushika nafasi ya nne […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIa7Wk*xcdvrx592bgK0AaEe2pqoxLR2khARSyO3HWDnlnfauMzDw05iwRiW3818l2q1N4PSgIk7ol1hIZEHXLm/2.jpg)
MPACHIKA MABAO JAMES RODRIGUEZ ATUA REAL MADRID
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OZXnRoNNooZa*lIPh9bfQ-iMpuy5tZ*em6S21-zn-4VyUKId*O*Wg4FJtKu5JWE5*RjJhXtiydtVvB1keVlWiw/james.jpg)
BAADA YA KROOS, REAL MADRID KUMNASA RODRIGUEZ
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Aug
Madrid waongeza dau kwa Di Maria
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aqIc5766bq4/U7BEot40xBI/AAAAAAAFtdI/OE30nt6P41c/s72-c/unnamed+(3).gif)
James Rodriguez aipeleka Colombia robo fainali kwa goli la mwaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-aqIc5766bq4/U7BEot40xBI/AAAAAAAFtdI/OE30nt6P41c/s1600/unnamed+(3).gif)
9 years ago
Mtanzania10 Nov
James Rodriguez: Barcelona hawatusumbui
MADRID, HISPANIA
BAADA ya Real Madrid kupokea kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Sevilla, mshambuliaji wa timu hiyo, James Rodriguez, amesema kuwa hawana wasi wasi na mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao, Barcelona.
Mchezo huo utapigwa kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu, ambapo utakuwa El Clasico ya kwanza msimu huu wapinzani hao kukutana.
Barcelona kwa sasa wanaongoza katika msimamo wa Ligi nchini Hispania baada ya juzi kushinda mabao 3-0 dhidi ya Villarreal, wakati Madrid ikiambulia...
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
Naimarika zaidi Madrid: Rodriguez
5 years ago
Bongo514 Feb
Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League
Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.
Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.
Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.
Jamie Vardy alikomboa bao moja...