BAADA YA KROOS, REAL MADRID KUMNASA RODRIGUEZ
![](http://api.ning.com:80/files/LMZbfjT5Z7OZXnRoNNooZa*lIPh9bfQ-iMpuy5tZ*em6S21-zn-4VyUKId*O*Wg4FJtKu5JWE5*RjJhXtiydtVvB1keVlWiw/james.jpg)
Mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2014, James Rodriguez. KLABU ya Real Madrid inakaribia kumnasa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2014, James Rodriguez, kwa pauni milioni 63 kutoka Monaco. Toni Kroos tayari ametua Real Madrid kwa pauni milioni 24. Klabu hiyo ya Hispania, leo imekamilisha usajili wa kiungo wa Ujerumani na Bayern Munich, Toni Kroos, kwa pauni milioni 24 kwa mkataba wa miaka sita. Ili… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Toni Kroos atua Real Madrid
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIa7Wk*xcdvrx592bgK0AaEe2pqoxLR2khARSyO3HWDnlnfauMzDw05iwRiW3818l2q1N4PSgIk7ol1hIZEHXLm/2.jpg)
MPACHIKA MABAO JAMES RODRIGUEZ ATUA REAL MADRID
11 years ago
Bongo522 Jul
James Rodriguez asainishwa na Real Madrid kwa dau la £60m
9 years ago
MillardAyo15 Dec
TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …
Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]
The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid …
Baada ya kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez, January 6 ndio siku ambayo ameongea kauli yake ya kwanza toka atimuliwe kazi na nafasi yake ichukuliwe na Zinedine Zidane. Benitez amefunguka na kumshukuru kila mmoja ndani ya Real Madrid. “Kwa sasa nimeondoka Real Madrid kama kocha, napenda kuaga na […]
The post Hii ndio kauli ya kwanza ya Rafael Benitez baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid …
Mapenzi ya wachezaji katika vilabu fulani barani Ulaya, imekuwa kawaida hata kama hawavichezei. December 28 klabu ya FC Barcelona imeingia kwenye headlines baada ya kumsainisha mchezaji na kisha kufuta mkataba wake masaa machache baada ya kugundua kuwa ametweet vitu ambavyo vinaihusu timu ya Real Madrid. Baada ya kufuzu majaribio na Barcelona B Sergi Guardiola alisaini […]
The post FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid … appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s72-c/A%2B1.jpg)
TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/-uhn1b_AK3gA/VVQkX700JjI/AAAAAAAA9Q4/vFLb8yqQ3Fw/s640/A%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zvv8zqEqEiw/VVQkZFXEmvI/AAAAAAAA9RQ/WsW49dSq26s/s640/A%2B6.jpg)
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1.
![](http://3.bp.blogspot.com/--526uyMMmdw/VVQkX8kN2lI/AAAAAAAA9Q8/P-X5PEqM-qQ/s640/A%2B2.jpg)
9 years ago
Bongo516 Oct
Real Madrid yapata pigo baada ya kiungo wake Luka Modric kukaa nje ya uwanja kwa wiki tatu
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …
Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]
The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...