James Rodriguez aipeleka Colombia robo fainali kwa goli la mwaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-aqIc5766bq4/U7BEot40xBI/AAAAAAAFtdI/OE30nt6P41c/s72-c/unnamed+(3).gif)
Colombia imepeleka mashabiki wake wanaovutia kwa ushangiliaji wao hadi kwenye robo fainali za kombe la Dunia baada ya nyota wake James Rodriguez akifunga mabao yote. Colombia waliifunga Uruguay ya mng’ata meno Suarez bao 2-0 katika mchezo wao wa raundi ya 16 kweny uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro jana.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s72-c/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s1600/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...
11 years ago
Bongo522 Jul
James Rodriguez asainishwa na Real Madrid kwa dau la £60m
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s72-c/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels aipeleka Ujerumani nusu fainali kombe la dunia kwa kichwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-odoCjPzyV7o/U7b3E6T2tqI/AAAAAAAFvEU/xGRXj3tPMrw/s1600/article-2680846-1F642B6500000578-683_964x484.jpg)
Mats Hummels ameipaisha Ujerumani kwa kichwa na kuizimisha Ufaransa katika uwanja wa Maracana jijini Rio de Janeiro leo na kuipeleka nusu fainali. Beki huyo mwenye umri wa miaka 25 alifunga bao hilo la pekee dakika ya 13, na Ujerumani inayofundishwa na Joachim Low itaelekea Uwanja wa Belo Horizonte kupambana na mshindi wa robo fainal kati ya Brazil na Colombia baadaye leo. Chini ni mabeseni yenye madonge ya barafu ambayo wachezaji wa Ujerumani walitumia kutuliza joto kali la jiji la Rio...
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Colombia star Rodriguez relaxed about Brazil
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
9 years ago
Mtanzania10 Nov
James Rodriguez: Barcelona hawatusumbui
MADRID, HISPANIA
BAADA ya Real Madrid kupokea kichapo cha mabao 3-2 dhidi ya Sevilla, mshambuliaji wa timu hiyo, James Rodriguez, amesema kuwa hawana wasi wasi na mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya wapinzani wao, Barcelona.
Mchezo huo utapigwa kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu, ambapo utakuwa El Clasico ya kwanza msimu huu wapinzani hao kukutana.
Barcelona kwa sasa wanaongoza katika msimamo wa Ligi nchini Hispania baada ya juzi kushinda mabao 3-0 dhidi ya Villarreal, wakati Madrid ikiambulia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlrxqCztzncLikIIolafLTochZGj88lo1vVIRNGySxWDVJJji2p1fTCJz8rdGt9dH53GzbrD9n9P5FhIoblRHHH/brazil3.jpg?width=650)
BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Guinea yafuzu robo fainali kwa kura
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Atletico Madrid yafuzu kwa robo fainali