Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Guinea yafuzu robo fainali kwa kura

Malabo, Guinea ya Ikweta. Guinea imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Mataifa ya Afrika 2015 baada ya kuitoa Mali kwa kupigwa kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Atletico Madrid yafuzu kwa robo fainali

Atletico Madrid ilimeishinda AC Millan na kufuzu kwa robo fainali ya kuwania kombe la Ulaya kwa mara ya kwanza tangu 1997

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yafuzu robo fainali ya FA

Mabingwa mara saba Liverpool walitoka nyuma na kuishinda Crystal Palace na kufuzu katika robo fainali ya kombe la FA.

 

11 years ago

BBCSwahili

Manchester City yafuzu kwa fainali

Ya kuwania kombe la ligi kwa mara ya kwanza baada ya kuilaza Westham kwa jumla ya magoli tisa kwa yai

 

11 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yafuzu kwa fainali

Real Madrid yafuzu kwa fainali baada ya kuibana Bayern Munich 5-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Voliboli:Kenya yafuzu kwa nusu fainali

Kenya imefuzu kwa nusu fainali ya mchuano wa voliboli ya wanawake ya Grand Prix baada ya kuwanyamazisha Algeria seti 3-2 kwao

 

5 years ago

Michuzi

SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...

 

11 years ago

GPL

BRAZIL YATINGA ROBO FAINALI KWA MATUTA

Wachezaji wa Brazil wakishangilia baada ya kushinda kwa penalti 3-2 dhidi ya Chile. ...Mashabiki  Brazil wakishangiia. Wachezaji wa timu ya…

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea yafuzu, Mali yabeba virago.

Baada ya droo kufanywa ,Guinea imefuzu katika robo fainali ya kombe la mataifa ya Afrika huku Mali ikibeba virago.

 

11 years ago

Michuzi

brazil yaingia robo fainali kwa mbinde baada ya kuitoa chile kwa penati

Mtanange ulikuwa  mgumu. Brazil hawakuvutia kabisa. Lakini ilitosha kuwapeleka robo fainali za Kombe la Dunia,  ingawa kwa mbinde,  baada ya kuitoa Chile kwa njia ya penati katika mchezo wako wa raundi ya 16  kwenye uwanja wa Mineirao mjini Horizonte.


Neymer ndiye aliyeweka kimiani bao la ushindi wakati Brazil ikiwa chini kwa mabao 3-2, lakini shujaa wa siku hakuwa yeye bali kipa wao Julio Cesar aliyeokoa mikwaju miwili,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani