Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atletico Madrid yafuzu kwa robo fainali

Atletico Madrid ilimeishinda AC Millan na kufuzu kwa robo fainali ya kuwania kombe la Ulaya kwa mara ya kwanza tangu 1997

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Guinea yafuzu robo fainali kwa kura

Malabo, Guinea ya Ikweta. Guinea imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Mataifa ya Afrika 2015 baada ya kuitoa Mali kwa kupigwa kura.

 

11 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yafuzu kwa fainali

Real Madrid yafuzu kwa fainali baada ya kuibana Bayern Munich 5-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yafuzu robo fainali ya FA

Mabingwa mara saba Liverpool walitoka nyuma na kuishinda Crystal Palace na kufuzu katika robo fainali ya kombe la FA.

 

5 years ago

Bongo5

Real Madrid na Atletico Madrid zimefuzu hatua ya nusu fainali Champions League

Ligi ya klabu bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu ya Leicester City ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.

Leicester wameondolewa katika hatua ya robo fainali baada ya sare hiyo ya 1-1 huku wakiwa wamefungwa 1-0 kwenye mechi ya mkondo wa kwanza.

Mchezaji wa Atletico Madrid, Saul Niguez alifunga bao kwa kichwa dakika ya 26.

Hii lilikuwa na maana kwamba walihitaji mabao matatu kipindi cha pili ili kufanikiwa kusonga.

Jamie Vardy alikomboa bao moja...

 

10 years ago

Vijimambo

NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID

Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti ( mwenye kofia ) akifuatilia mazoezi ya wachezaji wake kabla ya kurudiana na Atletico Madrid leo usiku.Wachezaji wa Real Madrid ( kutoka kushoto kwenda kulia ) Daniel Carvajal, Marcelo Vieira na Sami Khedira wakijifua tayari kuwakabili wapinzani wao Atletico Madrid leo usiku.
Baada ya mchezo watakumbatiana hivi!!! Kocha wa Real Madrd Carlo Ancelotti( kushoto ) akiwa na kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone. 
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni Atletico, Real Madrid fainali

Atletico Madrid imeitupa Chelsea nje ya mashindano baada ya kuichapa mabao 3-1 katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Uwanja wa Stamford Bridge na hivyo kutinga fainali ya mashindano hayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Atletico na Real Madrid katika fainali

Atletico Madrid itachuana dhidi ya Real Marid katika fainali ya kombe la mabingwa barani Uropa

 

11 years ago

GPL

ATLETICO MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Diego Costa (kushoto) akishangilia na Koke baada ya kufunga bao la pili kwa mkwaju wa penalti. Fernando Torres (kulia) na Samuel Eto'o wakiwa hawaamini kilichowasibu. Kushoto ni Ramires.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani