Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndoto 10 zinazootwa zaidi usiku na maana zake

Ndoto ni jambo au hisia ya kawaida inayompata mtu alalapo usiku. Kwa mujibu wa gazeti la The Mirror la Uingereza, hizi ni ndoto 10 zinazootwa zaidi na maana yake. 1. Kuota umeshikwa/umepotea: Ndoto hii hutokea pale unapokumbuna na ugumu katika kuchukua uamuzi kutokana na jambo lililo mbele yako. 2.Kuota mwili umekosa nguvu/kama umepooza: Katika ndoto […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Lowassa, mwanzo au mwisho wa ndoto zake?

>Jioni ya Januari 25, 1965 wakati Waingereza walipomzika Waziri Mkuu wao maarufu wa zamani, Winston Churchill katika makaburi ya St Martin’s Church, Bladon eneo la Oxford ilimaanisha kuwa Waingereza walikuwa wanamzika mmoja wa wanasiasa wazuri waliowahi kutoa tafsiri nzuri ya neno siasa.

 

5 years ago

Michuzi

CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...

 

10 years ago

Michuzi

Beta Zebron awezeshwa kukamilisha ndoto zake kupitia Airtel Fursa "Tunakuwezesha"

Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao.

 

10 years ago

GPL

BETA ZEBRON AWEZESHWA KUKAMILISHA NDOTO ZAKE KUPITIA AIRTEL FURSA "TUNAKUWEZESHA"

Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao.  Bofya hapa: goo.gl/ECdVkc ukamate fursa na Airtel

 

9 years ago

StarTV

Mlinzi wa kiwanja kwa zaidi ya miaka 20 adai haki zake

Serikali na taasisi za haki za binadamu zimeombwa kumsaidia mwananchi Issa Hassan Kilopola kupata haki yake ya kulipwa malimbikizo ya mshahara wa miaka 25 ya ulinzi wa Kiwanja nambari 24, Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Mlinzi huyo anadai malimbikizo ya mshahara huo tangu mwaka 1990 kutoka kwa mmiliki wa awali wa kiwanja hicho Abbullih Majid anayedaiwa kufariki dunia.

Kiwanja hicho kwa sasa kinadaiwa kuuzwa kwa Mbunge aliyemaliza muda wake Suleiman...

 

10 years ago

Vijimambo

SNOW KUBWA INAKUJA PWANI YA MASHARIKI YA MAREKANI, ZAIDI YA NDEGE 2,000 ZASITISHA SAFARI ZAKE

Evelina Federyuk Evelina Federyuk (R) shovels snow out of her driveway as her 4 -year-old twin siblings Roman (L) and Lia play during a major snow storm January 12, 2011 in Greenfield, Massachusetts.  A winter storm is dumping over a foot of snow across New England closing most state and local facilities.Theluji ya futi 3 inayitarajiwa kuanguka leo pwani ya mashariki na kuingia katika historia ya tufani za theluji zilizowahi anguka hapo nyuma. Mamlaka ya hali ya hewa walitoa onyo kwa wananchi wanaoishi maeneo ya New Jersey kuelekea Jimbo la Indiana watarajie tufani kubwa ya theluji.

Miji itakayoathirika ni New York City, Boston, Providence, Hartford na Portland kikubwa kilichoelezewa hapa ni upepo mkali utakaoambatana na tufani hii ya theluji watu zaidi ya milioni 28 wataathirika na tufani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani