Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlinzi wa kiwanja kwa zaidi ya miaka 20 adai haki zake

Serikali na taasisi za haki za binadamu zimeombwa kumsaidia mwananchi Issa Hassan Kilopola kupata haki yake ya kulipwa malimbikizo ya mshahara wa miaka 25 ya ulinzi wa Kiwanja nambari 24, Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Mlinzi huyo anadai malimbikizo ya mshahara huo tangu mwaka 1990 kutoka kwa mmiliki wa awali wa kiwanja hicho Abbullih Majid anayedaiwa kufariki dunia.

Kiwanja hicho kwa sasa kinadaiwa kuuzwa kwa Mbunge aliyemaliza muda wake Suleiman...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mlinzi Jela miaka 30 kwa kubaka

Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani imemuhukumu Steven Solomoni (29), mkazi wilayani humo kwenda jela miaka (30), baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mfanyakazi wake wa ndani mwenye umri wa miaka(16).

 

10 years ago

GPL

MLINZI AKANUSHA KUMUUA SLAA, ADAI ALILAZIMISHWA KUKIRI

Khalid Kangezi akitoa ufafanuzi mbele ya wanahabri (hawapo pichani). …Akiwa na mwanaye Adam Kangezi (kushoto).…

 

5 years ago

BBCSwahili

Chifu wa miaka 90 aliyepambana kuulinda msitu wa Amazon kwa zaidi ya miaka 50

Wanaharakati wa mazingira na makundi ya wazawa wanasema sera za kiongozi wa Brazil Jair Bolsonaro zimechangia kwa kiasi kikubwauangamizaji wa msitu wa mvua.

 

9 years ago

Bongo5

Professor J adai atafanya muziki kwa viwango vikubwa zaidi

Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasa

Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor J, amesema baada ya kushinda kiti cha ubunge atafanya muziki wake kwa ufanisi kushinda kipindi cha nyuma.

Professor akiwa kwenye shughuli za kisiasa</

Jay amesema umefika wakati wa yeye kufanya collabo na wasanii wakubwa. “Naendelea kufanya sanaa yangu na huenda nikaifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi,” Jay aliiambia East Africa Radio wiki iliyopita.

“Unaweza ukasikia watanzania wanafanya kazi na akina Eminem na Jay Z, kwahiyo nategemea kufanya kwa next level kwa sababu naamini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni

DSC06174

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.

DSC06218

Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida,  Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...

 

10 years ago

Bongo5

Meneja wa Q-Chief na MB Dog adai ameshatumia zaidi ya mil 300 kwa wasanii hao

Kampuni ya QS Mhonda J Entertainment inayowasimamia Q-Chief, MB Dog na wasanii wengine imedai hadi sasa imetumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa wasanii wake katika kipindi cha miaka minne. Mkuregenzi wa kampuni hiyo, J. Mhonda amesema licha ya kutumia gharama hiyo mpaka sasa hategemei kama itarudi. “Kampuni nimeianzisha ndani ya miaka 4 iliyopita, ndani […]

 

11 years ago

Habarileo

Mlinzi adaiwa kunajisi mtoto wa miaka 2

MLINZI wa Kampuni ya Security Guard, Keiya Kapuka (28) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, kujibu mashitaka ya kunajisi mtoto wa miaka miwili. Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Munde Kalombola alidai mbele ya Hakimu Ester Mwakalinga kuwa Februari 9, mwaka huu, eneo la Mtaa wa Muheza wilayani Ilala, Kapuka alimnajisi mtoto wa miaka miwili.

 

5 years ago

CCM Blog

NDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, Bertha Bankwa (kulia), wakati Waziri huyo alipokagua maendeleo ya upanuzi wa kiwanja hicho mkoani Dodoma.

Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyepigwa risasi adai kukosa haki

MKAZI wa Kigamboni, Baraka Mashauri (27), aliyepigwa risasi katika mguu wake kulia na askari polisi wa kituo kidogo cha Gymkhana jijini Dar es Salaam, amelalamika haki kutotendeka katika suala lake....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani