Mlinzi wa kiwanja kwa zaidi ya miaka 20 adai haki zake
Serikali na taasisi za haki za binadamu zimeombwa kumsaidia mwananchi Issa Hassan Kilopola kupata haki yake ya kulipwa malimbikizo ya mshahara wa miaka 25 ya ulinzi wa Kiwanja nambari 24, Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Mlinzi huyo anadai malimbikizo ya mshahara huo tangu mwaka 1990 kutoka kwa mmiliki wa awali wa kiwanja hicho Abbullih Majid anayedaiwa kufariki dunia.
Kiwanja hicho kwa sasa kinadaiwa kuuzwa kwa Mbunge aliyemaliza muda wake Suleiman...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Sep
Mlinzi Jela miaka 30 kwa kubaka
10 years ago
GPLMLINZI AKANUSHA KUMUUA SLAA, ADAI ALILAZIMISHWA KUKIRI
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Chifu wa miaka 90 aliyepambana kuulinda msitu wa Amazon kwa zaidi ya miaka 50
9 years ago
Bongo509 Nov
Professor J adai atafanya muziki kwa viwango vikubwa zaidi

Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor J, amesema baada ya kushinda kiti cha ubunge atafanya muziki wake kwa ufanisi kushinda kipindi cha nyuma.
</
Jay amesema umefika wakati wa yeye kufanya collabo na wasanii wakubwa. “Naendelea kufanya sanaa yangu na huenda nikaifanya kwa ufanisi mkubwa zaidi,” Jay aliiambia East Africa Radio wiki iliyopita.
“Unaweza ukasikia watanzania wanafanya kazi na akina Eminem na Jay Z, kwahiyo nategemea kufanya kwa next level kwa sababu naamini...
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida, Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...
10 years ago
Bongo529 Sep
Meneja wa Q-Chief na MB Dog adai ameshatumia zaidi ya mil 300 kwa wasanii hao
11 years ago
Habarileo04 Mar
Mlinzi adaiwa kunajisi mtoto wa miaka 2
MLINZI wa Kampuni ya Security Guard, Keiya Kapuka (28) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, kujibu mashitaka ya kunajisi mtoto wa miaka miwili. Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Munde Kalombola alidai mbele ya Hakimu Ester Mwakalinga kuwa Februari 9, mwaka huu, eneo la Mtaa wa Muheza wilayani Ilala, Kapuka alimnajisi mtoto wa miaka miwili.
5 years ago
CCM BlogNDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...
11 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Aliyepigwa risasi adai kukosa haki
MKAZI wa Kigamboni, Baraka Mashauri (27), aliyepigwa risasi katika mguu wake kulia na askari polisi wa kituo kidogo cha Gymkhana jijini Dar es Salaam, amelalamika haki kutotendeka katika suala lake....