MLINZI AKANUSHA KUMUUA SLAA, ADAI ALILAZIMISHWA KUKIRI
Khalid Kangezi akitoa ufafanuzi mbele ya wanahabri (hawapo pichani). …Akiwa na mwanaye Adam Kangezi (kushoto).…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNixQXwuMpmprKLRPeeSd6SRMMwu*ljZ8bvziKb6IZ84-AViOz*RdDktfHsj*Z0EJOSmb21wkj2OgtpqKC--zxz/slaa.jpg?width=650)
MLINZI WA SLAA AKANUSHA KUTAKA KUMUUA BOSI WAKE
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Adai mateso yamlazimisha kukiri mauaji
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa aendelea kusota polisi
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KHALID Kangezi, mlinzi binafsi (PSU) wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa, anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa uchunguzi kuhusu tuhuma dhidi yake.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Polisi Kinondoni, Camillus Wambura alisema uchunguzi unaendelea dhidi ya Kagenzi ambaye alifikishwa katika Kituo cha Polisi Osterbay juzi.
“Suala hili nilitakiwa kulitolea taarifa kwa Kamanda wa Polisi...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa aendelea kuhojiwa Polisi
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, linaendelea kumuhoji Khalid Kagenzi ambaye ni mlinzi binafsi (PSU) wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa anayetuhumiwa kwa kosa la kutaka kumuua.
Akizungumza na MTANZANIA, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camillus Wambura, alisema wanaendelea na uchunguzi juu ya tuhuma hizo.
Alisema pamoja na uchunguzi huo kuendelea, lakini Kamanda wa Polisi Kanda...
9 years ago
StarTV09 Sep
Mlinzi wa kiwanja kwa zaidi ya miaka 20 adai haki zake
Serikali na taasisi za haki za binadamu zimeombwa kumsaidia mwananchi Issa Hassan Kilopola kupata haki yake ya kulipwa malimbikizo ya mshahara wa miaka 25 ya ulinzi wa Kiwanja nambari 24, Mtaa wa Mtambani B, Kata ya Jangwani jijini Dar es Salaam.
Mlinzi huyo anadai malimbikizo ya mshahara huo tangu mwaka 1990 kutoka kwa mmiliki wa awali wa kiwanja hicho Abbullih Majid anayedaiwa kufariki dunia.
Kiwanja hicho kwa sasa kinadaiwa kuuzwa kwa Mbunge aliyemaliza muda wake Suleiman...
10 years ago
VijimamboMLINZI WA DK SLAA ALIPUKA.AMWAGA UGALI,AFICHUA MADUDU
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Kafulila adai Serikali inataka kumuua
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Waziri atajwa njama za kumuua Dk. Slaa
HALI ya siasa nchini inazidi kuwa tete baada ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele, kuhusishwa katika njama za kutaka kumuua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na...