Kafulila adai Serikali inataka kumuua
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema endapo itatokea kwa namna yoyote akafa, mhusika mkuu wa kifo chake itakuwa “Serikali ya CCM†na ameagiza kuwa kamwe wasifike kwenye msiba wake wala kutoa rambirambi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ka0MdfoApXo/XsKSsz_GrOI/AAAAAAALqr8/AXdHmKElp8gpPIJ_vMPZ0cb8Ik_XuyjaQCLcBGAsYHQ/s72-c/n3-6y8fF_400x400.jpg)
10 years ago
GPLMLINZI AKANUSHA KUMUUA SLAA, ADAI ALILAZIMISHWA KUKIRI
Khalid Kangezi akitoa ufafanuzi mbele ya wanahabri (hawapo pichani). …Akiwa na mwanaye Adam Kangezi (kushoto).…
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f9q1niogE20/XtH6_9oAYGI/AAAAAAAAUsQ/Dyd4IQQEOdEKmOrMBflkNgviGCommx1mQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
MKE WA PILISI ANAYETUHUMIWA KUMUUA MMAREKANI MWEUSI ADAI TARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-f9q1niogE20/XtH6_9oAYGI/AAAAAAAAUsQ/Dyd4IQQEOdEKmOrMBflkNgviGCommx1mQCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqXtA13zrKMp-fTgYV6QlkPSUO*RsWoW3Iwu229SBjM5PjFx3lOUVCMukoF4CjnGS8XvVxpfAOywj-Un9K9mOrF/dk.jpg)
DK.KIGWANGALA AUNGANA NA KAFULILA, ADAI KUNA WIZI MKUBWA UMEFANYIKA ESCROW
Makala: Elvan Stambuli
MBUNGE wa Nzega (CCM), Dk. Hamisi Kigwangala ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ameungana na Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kwa kudai kuwa ni kweli kuna wizi mkubwa umefanyika katika akaunti ya Escrow. Mbunge wa Nzega, Dkt. Hamis Kigwangala akiongea na wanahabari wa Global Publishers (hawapo pichani). Akizungumza na safu hii Dk.… ...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-FjsMW6f2LSM/VmdzfuvoWGI/AAAAAAAAXX0/pM2WEqq5XJU/s72-c/Pg-4.jpg)
KAMA KWELI SERIKALI INATAKA KUTIBU MAJIPU IWEKE WAZI RIPOTI ZA MWAKYEMBE NA SITTA - MNYIKA
Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika, ameomba ripoti za kamati za uchunguzi zilizoundwa na mawaziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe na Samuel Sitta, kuhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ziwekwe hadharani.Amesema kuwekwa hadharani kwa ripoti hizo kutaondoa usiri na kusaidia kubaini ufisadi uliokithiri katika mamlaka hiyo ili hatua za kuwasimamisha vigogo wa TPA na wa Mamlaka
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali
SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
VITISHO: NCCR wataka Serikali imlinde Kafulila
>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kumpa ulinzi wa kutosha mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama kidete bungeni akitaka suala la uchotaji fedha kwenye akaunti ya Escrow kutoka Benki Kuu (BoT) lichunguzwe.
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Rwasa alaumu serikali kwa kutaka kumuua mkewe
Kiongozi wa upinzani Agathon Rwasa amezilaumu idara za usalama nchini humo kwa kuhusika na jaribio la kutaka kumuuwa mkewe.
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Mbunge adai watumishi wa serikali wanadhoofisha maendeleo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Omar-Nundu--October5-2014.jpg)
Alisema halmashauri zimeshindwa kutimiza ahadi ambazo serikali imezitoa kwa wananchi kutokana na watumishi kukosa uaminifu.
Nundu ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi, aliyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania