Mbunge adai watumishi wa serikali wanadhoofisha maendeleo
Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Omari Nundu Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini, Omari Nundu, amesema watumishi wa serikali wanachangia kurudisha maendeleo ya wananchi nyuma.
Alisema halmashauri zimeshindwa kutimiza ahadi ambazo serikali imezitoa kwa wananchi kutokana na watumishi kukosa uaminifu.
Nundu ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi, aliyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Taasisi ya Watumishi Housing kutumia bilioni 400 kujenga nyumba za watumishi wa serikali
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Watumishi Housing Company, Dkt. Fred Msemwa akitoa mada kuhusu mkopo wa ujenzi wa nyumba bora za kisasa kwa watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari Jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Agosti 14, 2014.
Na Ismail Ngayonga, MAELEZO-Dar es Salaam.
TAASISI ya Watumishi Housing Company imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 400 kwa ajili ya ujenzi za watumishi wa...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s72-c/123105.jpg)
SERIKALI KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gdoLsOBQC3E/ViIMHpI825I/AAAAAAAIAhQ/FQkIlOjp1IM/s640/123105.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida, Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mbunge adai trafiki hupangiwa ‘hesabu’ na wakubwa wao
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s72-c/UT0.jpg)
Profesa Mwansoko awaaga watumishi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni
![](http://2.bp.blogspot.com/-vC3Vd0R7tJk/VnFOD99eMjI/AAAAAAAIMwo/RZszMe-fKMk/s640/UT0.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FIAbf-1-3fk/VnFOIrl6xSI/AAAAAAAIMxI/M9uPfyy2FW0/s640/UT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MEyie7rKJeI/VnFOEab7jlI/AAAAAAAIMww/kC7hynY6skk/s640/UT2.jpg)
5 years ago
MichuziWatumishi waliokwamisha maendeleo ya miaka mitatu ya Halmashauri kuwajibishwa.
Amesema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya Katibu Mkuu Ofisi ya Raisi Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) yaliyotolewa tarehe 24, April, 2020 kuhusu kushughulikia hoja na mapendekezo...
10 years ago
Bongo524 Jan
Kalapina adai akiwa mbunge hatosita kutoa kichapo kwa wenzie watakaomletea upuuzi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...