Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya

Mbunge mmoja mwanamke nchini Kenya sasa amejitokeza na kudai kwamba wabunge watatu wanaume walijaribu kumvua nguo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapinga 'kuvuliwa' nguo Kenya

Wanawake mjini Nairobi leo wameandamana kupinga kitendo cha mwanamke mmoja kuvuliwa nguo kwa madai kuwa alikuwa amevalia sketi fupi sana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni

DSC06174

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.

DSC06218

Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida,  Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...

 

10 years ago

Bongo Movies

TUKIO:Wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema

Nyumbani kwa  muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi.

Wema akiwa ndani

Kwamujibu wa  Bongo5 ambao walizungumza jana na jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya saa 5 asubuhi mpaka saa 9 jioni.

“Waliopigwa na kulazwa chini uchi wa mnyama ni mafundi ambao wanakujaga kila siku kumtengenezea Wema nyumba...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mji wa Delhi : Wanawake wakiislamu wazungumzia vile walivyochomewa nyumba na kuvuliwa nguo

Ghasia za kidini katika mji mkuu wa India zimesababisha maelfu ya watu kutoroka makazi yao.

 

10 years ago

Bongo5

Watu 2 wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema, ni mafundi wake waliodaiwa kuiba

Nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi, kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi. Wema akiwa ndani kwake Akizungumza na Bongo5 jana, jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya […]

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto aanza kuvuliwa nyadhifa za bungeni

Mambo yanazidi kumwendea kombo Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe baada ya kuvuliwa rasmi cheo cha Naibu Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila adai amezuiwa kuchangia bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai hataweza kuchangia tena katika mjadala wa Katiba kwa kuwa Ofisi ya Bunge imempiga marufuku kutokana na kauli zake.

 

11 years ago

CloudsFM

WEMA,AUNTY NA SHILOLE WALIPULIWA BUNGENI KUWA NI VINARA WA KUVAA NGUO ZISIZO ZA MAADILI

Ukiukwaji wa maadili ni sehemu ya kilio cha jamii ya watanzania na tayari kilio hicho kimeifikia serikali ambayo imechukua hatua za awali ya kuwaonya watu wanaofanya tabia hizo.Naibu Waziri wa habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia ameeleza hatua ambazo wizara hiyo imechukua katika kukomesha ukiukwaji wa maadili unaofanywa hasa katika kumbi za starehe.Akijibu swali lililoulizwa na mbunge Catherine Magige, Nkamia amesema kuwa serikali imefanya vikao na wamiliki wa kumbi za starehe,...

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu adai hati iliyopelekwa bungeni ni ‘feki’

Hata baada ya Wajumbe wa Bunge Maalumu kugawiwa nakala za Hati ya Muungano, Tundu Lissu, ameendelea kung’ang’ana kuwa haipo, ni feki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani