Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu adai hati iliyopelekwa bungeni ni ‘feki’

Hata baada ya Wajumbe wa Bunge Maalumu kugawiwa nakala za Hati ya Muungano, Tundu Lissu, ameendelea kung’ang’ana kuwa haipo, ni feki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lissu adai wajumbe 201 ni janja ya CCM

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema wamejiridhisha kuwa CCM ilitumia ujanja kuongeza wanachama wake kupitia nafasi 201 za wajumbe wateule wa rais.

 

10 years ago

Vijimambo

Lissu alipuka bungeni

Sakata la uchotwaji wa zaidi ya Shilingi bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, limeibuka tena bungeni na kuzua malumbano makali baina ya Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali, George Masaju na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) Tundu Lissu (Anayeongea kwenye Video).

Lissu alilipuka bungeni na kumwambia Masaju kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.

Akizungumza wakati akichangia mjadala uliohusu taarifa za Kamati za Bunge, Lissu alisema kuwa mafisadi wakubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu, Werema wavutana bungeni

WANASHERIA nguli, Tundu Lissu na Frederick Werema, jana walizusha mvutano mkubwa bungeni juu ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba.  Mvutano huo ulitokana na uwasilishaji mada uliofanywa na Werema juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Lissu achafua hewa bungeni

>Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu jana alichafua hali ya hewa bungeni baada ya kudai kuwa Serikali ya Awamu ya Nne ni ya kichovu, kauli ambayo ilizua mabishano makali kati yake na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Jenista Mhagama.

 

11 years ago

Mtanzania

Lukuvi: Lissu legeza ‘kamzizi’ Ukawa warudi bungeni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi

Gabriel Mushi na Aziza Masoud

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema anayekwamisha mjadala wa Katiba Mpya ni mmoja wa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Tundu Lissu.

Amesema kwamba, kama Lissu ataamua kubadili msimamo uwezekano wa Ukawa kushiriki Bunge Maalumu la Katiba ni mkubwa kwa vile ana uwezo mkubwa wa kushawishi, kujieleza na kujenga hoja.

Kutokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hati ya Muungano yatinga bungeni

HATIMAYE serikali imewasilisha bungeni nakala ya hati halisi ya makubaliano ya muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika mwaka 1964. Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, aliwatangazia wajumbe bungeni jana...

 

11 years ago

Mwananchi

Wenye vyeti feki wakaangwa bungeni

Wabunge juzi jioni walichachamaa wakitaka mawaziri na wabunge wanaohusishwa na vyeti feki kulithibitishia Bunge juu ya uhalali wa vyeti vyao.

 

11 years ago

Habarileo

Hati ya Muungano yawa moto Bungeni

Mwenyekiti wa Ukawa, Freeman MboweKUTOLEWA hadharani kwa Hati ya Muungano, kumeanza kuwachanganya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila adai amezuiwa kuchangia bungeni

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amedai hataweza kuchangia tena katika mjadala wa Katiba kwa kuwa Ofisi ya Bunge imempiga marufuku kutokana na kauli zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani