Lissu adai hati iliyopelekwa bungeni ni ‘feki’
Hata baada ya Wajumbe wa Bunge Maalumu kugawiwa nakala za Hati ya Muungano, Tundu Lissu, ameendelea kung’ang’ana kuwa haipo, ni feki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Lissu adai wajumbe 201 ni janja ya CCM
10 years ago
Vijimambo01 Feb
Lissu alipuka bungeni
Lissu alilipuka bungeni na kumwambia Masaju kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Akizungumza wakati akichangia mjadala uliohusu taarifa za Kamati za Bunge, Lissu alisema kuwa mafisadi wakubwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Lissu, Werema wavutana bungeni
WANASHERIA nguli, Tundu Lissu na Frederick Werema, jana walizusha mvutano mkubwa bungeni juu ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba. Mvutano huo ulitokana na uwasilishaji mada uliofanywa na Werema juu...
10 years ago
Mwananchi13 May
Lissu achafua hewa bungeni
11 years ago
Mtanzania04 Aug
Lukuvi: Lissu legeza ‘kamzizi’ Ukawa warudi bungeni
![Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/William-Lukuvi.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi
Gabriel Mushi na Aziza Masoud
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema anayekwamisha mjadala wa Katiba Mpya ni mmoja wa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Tundu Lissu.
Amesema kwamba, kama Lissu ataamua kubadili msimamo uwezekano wa Ukawa kushiriki Bunge Maalumu la Katiba ni mkubwa kwa vile ana uwezo mkubwa wa kushawishi, kujieleza na kujenga hoja.
Kutokana na...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Hati ya Muungano yatinga bungeni
HATIMAYE serikali imewasilisha bungeni nakala ya hati halisi ya makubaliano ya muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar yaliyofanyika mwaka 1964. Makamu Mwenyekiti wa Bunge, Samia Suluhu, aliwatangazia wajumbe bungeni jana...
11 years ago
Mwananchi21 May
Wenye vyeti feki wakaangwa bungeni
11 years ago
Habarileo16 Apr
Hati ya Muungano yawa moto Bungeni
KUTOLEWA hadharani kwa Hati ya Muungano, kumeanza kuwachanganya baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Mtikila adai amezuiwa kuchangia bungeni