Lissu, Werema wavutana bungeni
WANASHERIA nguli, Tundu Lissu na Frederick Werema, jana walizusha mvutano mkubwa bungeni juu ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba. Mvutano huo ulitokana na uwasilishaji mada uliofanywa na Werema juu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Lissu amchapa Jaji Werema
MNADHIMU wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Tundu Lissu, amemvaa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, (AG), Jaji Fedrick Werema kuwa ameliingiza hasara taifa kwa kushindwa kuzuia wizi wa fedha zaidi y ash bilioni 300, zilizohifadhiwa...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Jaji Werema ampongeza Lissu
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Lissu ahoji Werema kuwafumbia macho vigogo wanaotajwa Escrow

Vigogo hao ni pamoja na mawaziri wa sasa na wa zamani, mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani, majaji wa mahakama kuu na Gavana...
10 years ago
Vijimambo01 Feb
Lissu alipuka bungeni
Lissu alilipuka bungeni na kumwambia Masaju kuwa ni mshauri wa serikali na si Bunge kuhusu masuala ya kisheria.
Akizungumza wakati akichangia mjadala uliohusu taarifa za Kamati za Bunge, Lissu alisema kuwa mafisadi wakubwa...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Werema: Rais Kikwete hawezi kuwafukuza Ukawa bungeni
10 years ago
Mwananchi13 May
Lissu achafua hewa bungeni
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Lissu adai hati iliyopelekwa bungeni ni ‘feki’
11 years ago
Mtanzania04 Aug
Lukuvi: Lissu legeza ‘kamzizi’ Ukawa warudi bungeni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi
Gabriel Mushi na Aziza Masoud
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Uratibu na Bunge, William Lukuvi, amesema anayekwamisha mjadala wa Katiba Mpya ni mmoja wa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Tundu Lissu.
Amesema kwamba, kama Lissu ataamua kubadili msimamo uwezekano wa Ukawa kushiriki Bunge Maalumu la Katiba ni mkubwa kwa vile ana uwezo mkubwa wa kushawishi, kujieleza na kujenga hoja.
Kutokana na...
5 years ago
Michuzi
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU

Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...