Jaji Werema ampongeza Lissu
>Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amempongeza Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu, kwa kile alichokiita kuwa ni kuwa na kifua kipana cha kujali masilahi ya Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Lissu amchapa Jaji Werema
MNADHIMU wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Tundu Lissu, amemvaa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, (AG), Jaji Fedrick Werema kuwa ameliingiza hasara taifa kwa kushindwa kuzuia wizi wa fedha zaidi y ash bilioni 300, zilizohifadhiwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Lissu, Werema wavutana bungeni
WANASHERIA nguli, Tundu Lissu na Frederick Werema, jana walizusha mvutano mkubwa bungeni juu ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba. Mvutano huo ulitokana na uwasilishaji mada uliofanywa na Werema juu...
10 years ago
Vijimambo24 Nov
Lissu ahoji Werema kuwafumbia macho vigogo wanaotajwa Escrow
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/11/lissu.jpg)
Vigogo hao ni pamoja na mawaziri wa sasa na wa zamani, mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani, majaji wa mahakama kuu na Gavana...
10 years ago
Mtanzania17 Dec
Jaji Werema ajiuzulu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam,
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ambaye ni mmoja wa watuhumiwa katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow ametangaza kujiuzulu.
Hatua hiyo ya Werema imekuja wakati Watanzania wakiwa bado wanasubiri uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuhuau maamizio manane ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), aliyekagua miamala ya Akaunti ya Tegeta Escrow.
Katika...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Jaji Werema amvaa Warioba
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanayo mamlaka ya kurekebisha, kupunguza na kuongeza vipengele kwenye rasimu ya Katiba mpya itakayoanza kujadiliwa wiki...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Jaji Werema ni mwanasheria au mwanashari?
NAANDIKA makala hii kwa masikitiko sana kulaani mtindo wa kihuni wa baadhi yetu kujichukulia sheria mkononi. Hali hii inakuwa mbaya zaidi hasa pale tunaodhani ni magwiji wa sheria na mihimili...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Jaji Werema ataka kumtwanga Kafulila
KASHFA ya ununuzi wa Kampuni ya IPTL na fedha za Escrow, jana nusura iharibu taswira ya Bunge baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema kutaka kumpiga Mbunge wa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Shida si Jaji Werema, Maswi bali JK
MATUSI, vitisho na kauli za rejereja zilizotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi dhidi ya wabunge David...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Jaji Werema, Zitto; Nani ‘msanii’?