Shida si Jaji Werema, Maswi bali JK
MATUSI, vitisho na kauli za rejereja zilizotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi dhidi ya wabunge David...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wiki ya Werema, Muhongo, Maswi
MACHO na masikio wiki hii yataelekezwa zaidi mjini Dodoma, kujua hatma ya watuhumiwa wanaodaiwa kuchota zaidi ya sh bilioni 300, zilizohifadhiwa kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu...
10 years ago
VijimamboWerema,Maswi,Mboma wapumulia mashine
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick...
10 years ago
Vijimambo19 Nov
Ushiriki wa Werema,Maswi IPTL huu hapa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Warema-November19-2014.jpg)
Joto la uchunguzi wa hamisho la zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme baina ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likizidi kupanda, taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa kazi itakuwa nzito kwa wakuu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Wizara ya Nishati na Madini na Benki Kuu...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
MVUTANO: Werema, Maswi, Kafulila ngoma nzito
10 years ago
Mtanzania17 Dec
Jaji Werema ajiuzulu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam,
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ambaye ni mmoja wa watuhumiwa katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow ametangaza kujiuzulu.
Hatua hiyo ya Werema imekuja wakati Watanzania wakiwa bado wanasubiri uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuhuau maamizio manane ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), aliyekagua miamala ya Akaunti ya Tegeta Escrow.
Katika...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Jaji Werema ni mwanasheria au mwanashari?
NAANDIKA makala hii kwa masikitiko sana kulaani mtindo wa kihuni wa baadhi yetu kujichukulia sheria mkononi. Hali hii inakuwa mbaya zaidi hasa pale tunaodhani ni magwiji wa sheria na mihimili...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Jaji Werema ampongeza Lissu
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Jaji Werema amvaa Warioba
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanayo mamlaka ya kurekebisha, kupunguza na kuongeza vipengele kwenye rasimu ya Katiba mpya itakayoanza kujadiliwa wiki...