Ushiriki wa Werema,Maswi IPTL huu hapa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Fredrick Werema.
Joto la uchunguzi wa hamisho la zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme baina ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likizidi kupanda, taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa kazi itakuwa nzito kwa wakuu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Wizara ya Nishati na Madini na Benki Kuu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wiki ya Werema, Muhongo, Maswi
MACHO na masikio wiki hii yataelekezwa zaidi mjini Dodoma, kujua hatma ya watuhumiwa wanaodaiwa kuchota zaidi ya sh bilioni 300, zilizohifadhiwa kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Shida si Jaji Werema, Maswi bali JK
MATUSI, vitisho na kauli za rejereja zilizotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi dhidi ya wabunge David...
10 years ago
VijimamboWerema,Maswi,Mboma wapumulia mashine
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
MVUTANO: Werema, Maswi, Kafulila ngoma nzito
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0z7X5bmsuVU/UxgY85w5XVI/AAAAAAAFRWY/tSQCsHJSlNg/s72-c/unnamed+(58).jpg)
USHIRIKI WA TANZANIA KATIKA MIKUTANO INAYOENDELEA HAPA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcLtz0ONj9HZuhRsrESzemjMvhEYV5uL-yxYru9v4Qwk3sN1iOfKsv3GiFocPVFDjJtvwFdXFiX4SRSOyrR0GfKs/ushoga.jpg?width=650)
USHOGA WA DK.CHENI HUU HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uWRPA3mkEdU/VFFY6h9OkpI/AAAAAAAGuHo/QTpsy0KPoFY/s72-c/DSCF0055.jpg)
kishalia hapa usiku huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-uWRPA3mkEdU/VFFY6h9OkpI/AAAAAAAGuHo/QTpsy0KPoFY/s1600/DSCF0055.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Mtandao wa rushwa mahakamani huu hapa