Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USHOGA WA DK.CHENI HUU HAPA

Stori: Brighton Masalu
SIKU chache baada ya Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) kuzuia filamu ya mkongwe katika sinema za Kibongo, Mahsein Awadh Said ‘Dk. Cheni’ ijulikanayo kwa jina la Nimekubali isiingie sokoni kwa madai kuwa imekiuka maadili ya Kitanzania, msanii huyo ameibuka na kueleza kinagaubaga, Risasi Jumamosi limenasa sauti yake. Akizungumza na mwandishi wetu Jumatano ya wiki hii maeneo ya Mlimani City jijini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

kishalia hapa usiku huu

Muendesha bodaboda (alieshika kiuno) akizungumza na mmiliki wa gari mara baada ya kupigwa pasi na kupiga mweleka barabarani katika eneo la geti kuu wa kuingilia Mlimani City jijini Dar es salaam usiku huu.Mwenye gari hiyo alikuwa akiingia Mlimani city huku muendesha bodaboda hiyo akiwa barabara kuu akitokea Ubunge kuelekea Mwenge.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtandao wa rushwa mahakamani huu hapa

>Mahakama ni chombo kilichoanzishwa, kwa mujibu wa Katiba na chenye mamlaka kisheria ya kutoa haki katika jamii kuhusu mashauri mbalimbali ya kijinai, mauaji au madai ili mkosaji aadhibiwe na asiye na hatia aachiwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Utaratibu wa mazishi ya Mandela huu hapa

Kamati ya Maandalizi ya Mazishi ya Kiongozi wa Wazalendo wa Afrika Kusini,Nelson Mandela imeanza kupanga utaratibu wa mapokezi ya wageni mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya kiongozi huyo nchini Afrika Kusini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya wa Amini — “Asante” huu hapa

Amini2

Artist – Amini Song – Asante Producer – Jobanjo Studio – Njoo Studio

 

10 years ago

Vijimambo

Ushiriki wa Werema,Maswi IPTL huu hapa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Fredrick Werema.
Joto la uchunguzi wa hamisho la zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme baina ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likizidi kupanda, taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa kazi itakuwa nzito kwa wakuu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Wizara ya Nishati na Madini na Benki Kuu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je unalala vya kutosha?utafiti huu hapa

Baadhi ya watu hutanabahi wanapokuwa hawajapata usingizi wa kutosha,lakini ni wa kutosha kwa kiasi gani?

 

9 years ago

Vijimambo

Ukweli elimu bure ya Lowassa huu hapa.

Ahadi aliyoitoa mgombea urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), ya kutoa elimu ya Chuo Kikuu bure inaweza kugharimu Taifa kiasi cha Sh. trilioni 1.35($675millioni) kwa mwaka, Nipashe limebaini.

Lowassa katika uzinduzi wake wa kampeni alitoa ahadi ya kutoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu iwapo atachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano-hali iliyozua ubishi kutoka kwa Chama Cha Mapinduzi.

Baadhi ya vigogo wa CCM wanadai ni ndoto kutoa elimu bure kwa kuzingatia hali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani