kishalia hapa usiku huu

Muendesha bodaboda (alieshika kiuno) akizungumza na mmiliki wa gari mara baada ya kupigwa pasi na kupiga mweleka barabarani katika eneo la geti kuu wa kuingilia Mlimani City jijini Dar es salaam usiku huu.Mwenye gari hiyo alikuwa akiingia Mlimani city huku muendesha bodaboda hiyo akiwa barabara kuu akitokea Ubunge kuelekea Mwenge.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
TAYARI KISHALIA HAPA.....


11 years ago
GPL11 years ago
GPL10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU

10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi13 Jun
11 years ago
GPLSHANGWE ZA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA USIKU HUU
Msanii wa Bongo Fleva, Mwana FA akifanya yake usiku huu. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na burudani za Serengeti Fiesta Leaders Club. …
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
11-May-2025 in Tanzania