Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


kishalia hapa usiku huu

Muendesha bodaboda (alieshika kiuno) akizungumza na mmiliki wa gari mara baada ya kupigwa pasi na kupiga mweleka barabarani katika eneo la geti kuu wa kuingilia Mlimani City jijini Dar es salaam usiku huu.Mwenye gari hiyo alikuwa akiingia Mlimani city huku muendesha bodaboda hiyo akiwa barabara kuu akitokea Ubunge kuelekea Mwenge.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAYARI KISHALIA HAPA.....

 Gari la kubeba wagonjwa la Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam lenye nambari za usajili SM 9058 likiwa limeigonga kwa nyuma gari nyingine aina ya Toyota Mark II lenye nambari za usajili T 230 ATW kwenye makutano ya mtaa wa Uhuru na Msimbaji.Madereza wa magari yote mawili wakiwa kwenye maelewani mara baada ya kutokea ajali hiyo,mchana wa leo.

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU

Msimu wa Pili wa Kwetu House Unaendelea washiriki wanaendelea kuchuana vikali ndani ya Nyumba, Vipajivinaonekana na Ushabiki wa Soka wanaonekana pia. Kama unakumbuka Washiriki waliobahatika kuingia kwenye Nyumba walikuwa 30 baada ya Bootcamp kumalizika na Baada ya hapo Washiriki wameendelea kuyaaga mashindano haya kwa msimu huu wa pili na Wiki hii washiriki 18 ndio wamebaki kwenye Nyumba lakini 6 kati ya hao 18 watayaaga mashindano usiku huu. Kocha ananafasi ya kumuokoa Mshiriki Moja kurudi...

 

10 years ago

Michuzi

SIMU TV: HABARI ZA USIKU HUU

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

SIMU TV: TAARIFA ZA HABARI USIKU HUU

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

SHANGWE ZA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA USIKU HUU

Msanii wa Bongo Fleva, Mwana FA akifanya yake usiku huu. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na burudani za Serengeti Fiesta Leaders Club. …

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani